Samahani naomba kujua Location maana Mimi Niko Kitunda Shule hukuHabarini za majukumu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Nahitaji kijana muaminifu na mzoefu wa jiko la kuuza chipsi, mishkaki, samaki n.k, kwa hapa Dar es Salaam.
Aliye serious anicheki PM tafadhali.