Mimi ni kijana wa kiume
29 yrs natafuta mwenza wa Maisha (mpenzi) mwenye vigezo vifuatavyo
1. Umri 22+
2. Dini (Christian) mcha Mungu
3. Location - Tanzania
Elimu sio kigezo kwangu kwa maana mimi nataka mke ambaye ni wife material na sio Professor. Kwa ambaye yuko interested ani PM na nitamjibu.
Mungu awabariki sana.
29 yrs natafuta mwenza wa Maisha (mpenzi) mwenye vigezo vifuatavyo
1. Umri 22+
2. Dini (Christian) mcha Mungu
3. Location - Tanzania
Elimu sio kigezo kwangu kwa maana mimi nataka mke ambaye ni wife material na sio Professor. Kwa ambaye yuko interested ani PM na nitamjibu.
Mungu awabariki sana.