Nahitaji mpenzi (Mume)

Nahitaji mpenzi (Mume)

Mi nipo ukiwa teyali hakuna haja ya pm wala nini hapa hapa panatosha ukowap me wa namna gan unamtaka sifa tafadhali
 
Una kiranga we mtoto!miaka 23 unatafuta mume mitandaoni?hebu jitulize Huo ndio umri mko sokoni we unaleta wenge
Huwezi jua bidhaa ipo kwenye which condition
Au hataki blaa blaa
Anataka ndoa straight up
 
Nyanya za Jana ni za Jana tu haziwezi kuwa sawa na za wiki iliyopita,no matter hekaheka za usafirishaji😁😁😁😁
we unaongea tu

Hujui makitu tunayokutana nayo mashujaa wachache hapa Tanzania 😆
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom