TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
Mhh!! mashine ya kujikausha mwili??? sasa huku ni kujitafutia maradhi ya "saratani"Kila technology inavopamba moto basi ujue na magonjwa yanazidi.
na mimi naomba nikupe hiyo hudumaNami naihitaji hiyo huduma tafadhali.
Ruksa tafadhalina mimi naomba nikupe hiyo huduma
Ruksa tafadhali
Meezy karibu kwangu nikujuze vitu vingi sana....
vingi usivyovifahamu na ukiniahidi juna nitakutayarishia Juice ya Fenesiunijuze vitu vingi kama vipi?
vingi usivyovifahamu na ukiniahidi juna nitakutayarishia Juice ya Fenesi
Duh! Ndio ina ladha gani hiyo?
Kwanza ina rangi ya udhurungi radha yake ni malidhawa kama zaituni...
Hivi Wewe Meezy una undugu na Miss_Jambo maana lips zako na hips ndizo zilizonistua, nilikutizama kwa nyuma ulipokuwa unatoka....
nani aliyekwambia kuwa Meezy ni jina la mwanamke?
Mambo Meezy....?
Sasa ukizipata si utahitaji na training namna ya kuzitumia maana unaonekana huzijui vizuri hahahaha
Mhh!! mashine ya kujikausha mwili??? sasa huku ni kujitafutia maradhi ya "saratani"Kila technology inavopamba moto basi ujue na magonjwa yanazidi.
nani aliyekwambia kuwa Meezy ni jina la mwanamke?
Sizijui jina kitaalam ila nliona moja ineandikwa BLOSSOM sjajua ni jina la kampuni zalishi ama ni jina la mashine, but zinatoa hewa moto,na ni nzuri kujikausha baada ya kuoga.Ni kama hand driers lakini zenyewe ni za bafuni.
mkuu zipo sana, kuna hadi taa kwa ajili ya kukausha nguo na mwili, zaidi siku hizi kuna hadi mayai ya unga.
Mayai ya unga? :shocked: ahsante sana mkuu :doh: