Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sizijui jina kitaalam ila nliona moja ineandikwa BLOSSOM sjajua ni jina la kampuni zalishi ama ni jina la mashine, but zinatoa hewa moto,na ni nzuri kujikausha baada ya kuoga.Ni kama hand driers lakini zenyewe ni za bafuni.
Nami naihitaji hiyo huduma tafadhali.Jinsia yako please?Kama ni "SHE" naweza kuifanya hiyo kazi mimi?
Unataka piece ngapi?
Nami naihitaji hiyo huduma tafadhali.
KaribuOk, tutafutane,Tena mrembo kama wewe nitakukausha hayo maji sio kwa taulo wala BLOSSOM aliyoizungumzia huyu jamaa, bali kwa ULIMI!!!!!!!!!
Kwani taulo imekuwaje???
huna cha kujikaushia wewe?Kuna mashine za kujikaushia bafuni siku hizi? Duh!!! Hii kali.
huna cha kujikaushia wewe?
dunia imebadilika technologia ipo juu sasa hivi unaweza kupika hata ugali bila kuchemsha maji na ukaiva freshMie natumia taulo...Sasa nashangaa kusikia kuna mashine siku hizi...Mie najua kuna za mikono tu...kumbe hadi za mwili nazo zipo.
Kuna mashine za kujikaushia bafuni siku hizi? Duh!!! Hii kali.
dunia imebadilika technologia ipo juu sasa hivi unaweza kupika hata ugali bila kuchemsha maji na ukaiva fresh
mkuu zipo sana, kuna hadi taa kwa ajili ya kukausha nguo na mwili, zaidi siku hizi kuna hadi mayai ya unga.