Sio haki kabisa yaani hivi wanawake wanatuonaje?Yani we vigezo vyako viwe viwili afu mwanaume awe na vitano kweli unaona ni haki hiyo dadangu?
Hebu jaribu kutupia na kigezo cha dini mkuu, au ww ni mpagani ?
Hili kundi wengi wameoa. Utakubali kuwa mpango kando?4.umri 33-40
Mungu akubarik utampata tu.Hellow wapendwa! Heri ya pasaka, upweke sasa umetosha! Nahitaj mwanaume mwenye sifa zifuatazo
1.awe mkatoliki
2.awe anaishi dsm
3.awe anajishughulisha
4.umri 33-40
5.awe mweusi
Sifa zangu,
1.umri miaka 29
2.kazi nimeajiriwa serikalin
3.nina shahada ya elimu
4.mnene kias
N.b akubali kupima UKIMWI
Hivi kwanini umri unaninyimaga mabinti warembo?Hellow wapendwa! Heri ya pasaka, upweke sasa umetosha! Nahitaj mwanaume mwenye sifa zifuatazo
1.awe mkatoliki
2.awe anaishi dsm
3.awe anajishughulisha
4.umri 33-40
5.awe mweusi
Sifa zangu,
1.umri miaka 29
2.kazi nimeajiriwa serikalin
3.nina shahada ya elimu
4.mnene kias
N.b akubali kupima UKIMWI
Usimkatishe tamaa bwana mbona wapo ambao hawajaoaHili kundi wengi wameoa. Utakubali kuwa mpango kando?
Kama una mpango wa kuwa mke ndani ya miaka miwili ijayo njoo tuyajengeHellow wapendwa! Heri ya pasaka, upweke sasa umetosha! Nahitaj mwanaume mwenye sifa zifuatazo
1.awe mkatoliki
2.awe anaishi dsm
3.awe anajishughulisha
4.umri 33-40
5.awe mweusi
Sifa zangu,
1.umri miaka 29
2.kazi nimeajiriwa serikalin
3.nina shahada ya elimu
4.mnene kias
N.b akubali kupima UKIMWI
Hamna aisee! Hadi tunakuoneaga wivu,warembo wanavyo kuchezeaga huku wanakuita babu.Hivi kwanini umri unaninyimaga mabinti warembo?
All is well....Hellow wapendwa! Heri ya pasaka, upweke sasa umetosha! Nahitaj mwanaume mwenye sifa zifuatazo
1.awe mkatoliki
2.awe anaishi dsm
3.awe anajishughulisha
4.umri 33-40
5.awe mweusi
Sifa zangu,
1.umri miaka 29
2.kazi nimeajiriwa serikalin
3.nina shahada ya elimu
4.mnene kias
N.b akubali kupima UKIMWI
Kwa nini wa mikoani unatutenga? Au hatuna swaga?Hellow wapendwa! Heri ya pasaka, upweke sasa umetosha! Nahitaj mwanaume mwenye sifa zifuatazo
1.awe mkatoliki
2.awe anaishi dsm
3.awe anajishughulisha
4.umri 33-40
5.awe mweusi
Sifa zangu,
1.umri miaka 29
2.kazi nimeajiriwa serikalin
3.nina shahada ya elimu
4.mnene kias
N.b akubali kupima UKIMWI