Nahitaji mahusiano ya urafiki wa kimapenzi mpaka ndoa

Status
Not open for further replies.

bintimrembo

Member
Jul 11, 2018
30
79
Hi,

Kuna memba fulani amenitia moyo, kwamba inawezekana, ngoja nijaribu tena kwa mara ya mwisho.

  • Mimi ni mwanamke nina miaka 29
  • Naishi DSM
  • Elimu certificate
  • Mwanafunzi wa mwaka wa 2 chuo fulani Dodoma nimeenda kujiendeleza (hapa nakazia tayari nimeshaajiriwa)

Vigezo vyangu:
1. Mnene kiasi
2. Mwalimu wa Primary

Vigezo vya mwanaume:
1. Awe mweusi
2. Elimu hata chuo sawa
3. Umri 32-40
4. Awe anajishuhurisha yaani ajiajiri ama ameajiriwa fine
5. Aishi DSM pia anivumilie kwani nitakuwa nasoma pia

Karibu inbox
 
Screenshot_20211104-000108.jpg
 
Hi,

Kuna memba fulani amenitia moyo, kwamba inawezekana, ngoja nijaribu tena kwa mara ya mwisho.

  • Mimi ni mwanamke nina miaka 29
  • Naishi DSM
  • Elimu certificate
  • Mwanafunzi wa mwaka wa 2 chuo fulani Dodoma nimeenda kujiendeleza (hapa nakazia tayari nimeshaajiriwa)

Vigezo vyangu:
1. Mnene kiasi
2. Mwalimu wa Primary

Vigezo vya mwanaume:
1. Awe mweusi
2. Elimu hata chuo sawa
3. Umri 32-40
4. Awe anajishuhurisha yaani ajiajiri ama ameajiriwa fine
5. Aishi DSM pia anivumilie kwani nitakuwa nasoma pia

Karibu inbox
Una nongwa gani na sisi wanaume weupe/maji ya kunde? Sasa kama unamtaka mwanaume mweusi si unaweza kupata mtu ambaye mkiwa wote chumbani usiku, anaonekana meno tu 🌚!!

Kha! Acha kutubagua wanaume weupe bhana!! Maana sisi ndiyo wenye mwonekano mzuri zaidi kuliko hao weusi!
 
Ningekuwa sijaoa hii ilikuwa fursa ...........haswaaaa mwalimu........walimu wanajua kupenda Sana .......yaaani ni wakarimu balaaaaaaa harafu sio malaya

Kwamba walimu sio nini..????kama unataka stress all the best...!
 
Hi,

Kuna memba fulani amenitia moyo, kwamba inawezekana, ngoja nijaribu tena kwa mara ya mwisho.

  • Mimi ni mwanamke nina miaka 29
  • Naishi DSM
  • Elimu certificate
  • Mwanafunzi wa mwaka wa 2 chuo fulani Dodoma nimeenda kujiendeleza (hapa nakazia tayari nimeshaajiriwa)

Vigezo vyangu:
1. Mnene kiasi
2. Mwalimu wa Primary

Vigezo vya mwanaume:
1. Awe mweusi
2. Elimu hata chuo sawa
3. Umri 32-40
4. Awe anajishuhurisha yaani ajiajiri ama ameajiriwa fine
5. Aishi DSM pia anivumilie kwani nitakuwa nasoma pia

Karibu inbox
Hebu ngoja nijaribu bahati yangu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom