GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,503
- Thread starter
- #21
ooh! Sawa mkuu.Acha kudanganya umma, hao std 7 wanajiunga na jwtz tu tena wawe na ujuzi maalumu, polisi huajiri wenye elimu kuanzia kidato cha 4 hadi digrii ya uzamivu.
Kuhusu division wanachukua hata mwenye 'division' 1 kinachopaswa ni wewe kuwa interested na kazi ya polisi.
5/5
Sent using Jamii Forums mobile app