Katibu Mwenezi anapaswa kuwa na Elimu gani?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Dec 12, 2021
1,997
7,552
Kwa wanaofahamu, katibu wa itikani na uenezi wa CCM anapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu?

Je, mtu mwenye tuhuma za kufoji vyeti anaweza kushika nafasi hiyo?
 
Kwa wanaofahamu, katibu wa itikani na uenezi wa CCM anapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu?

Je, mtu mwenye tuhuma za kufoji vyeti anaweza kushika nafasi hiyo?
a hii ndio a a a a a.....
e hii ndio e e e e e......
i hii ndio i i i i i.......
o hii ndio o o o o o......
I hii ndio u u u u u......

Hio inatosha sana kwa chama chao.
 
Kwa wanaofahamu, katibu wa itikani na uenezi wa CCM anapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu?

Je, mtu mwenye tuhuma za kufoji vyeti anaweza kushika nafasi hiyo?
SIFA ZA KUPATA CHEO KWENYE CHAMA:
1.UWE MWEPESI KUMSIFIA SIFIA MWENYEKITI WAKO
2.JITAHIDI SANA KUWAUMIZA WAPINZANI WAKO.

KWA SIFA HIZI TU CHEO UNACHO, ELIMU PELEKA SEKRETARIETI YA AJIRA
 
Back
Top Bottom