Inawezekana kusoma kozi ya kuendesha VIP nikipata leseni?

msaidizimkuu

Member
Jul 5, 2020
39
10
Habari wadau napenda kuuliza niweze kujuzwa baadhi ya mambo kuhusu kada ya udereva. Nimekuwa nikitaka kufanya kazi Serikalini ya udereva hivyo sikuwa na leseni kwa wakati huo ila kwa sasa nipo VETA nasomea Basic Driving ila lengo langu nipate cheti niweze kusomea VIP pale NIT lakini leseni sikuwa nayo ila kuna mwalimu wa VETA kanambia kuwa anaweza kunifanyia mpango wa kupata leseni ya madaraja yote ili nikimaliza kusoma hii BASIC niunganishe NIT.

Swali langu, Je hii inawezekana maana niliambiwa mpaka usome NIT kozi ya VIP mpaka leseni iwe ime expire na ku expire mpaka miaka mitano au kupata daraja la C au E hivyo naomba kujuzwa naweza nikafanikiwa nikimaliza hiyo Basic nikaunganisha NIT kwa kuwa leseni yangu ina Class zote japokuwa ya kuendesha mabasi, naombeni kujuzwa ndugu zangu.
 
Inawezekana. Lakini kwenye ajira system itakutema.. maana itaonekana una leseni kubwa ya ghafla ghafla

Maana madaraja yote ya leseni yana tarehe ya siku ya kutolewa... na yana rekodi tra
 
Tafuta "koneksheni" tu hakuna linaloshindikana.
na je Kuna kitu nashndwaga kukielewa nimeitimu veta Udereva, Nina leseni , cheti cha form iv lakn nakutana na ichi kitu kwny matangazo ya ajira GRADE TEST GRADE I& II& III hii ikoje? Ni kozi gn? Inatolewa mda gani na vigezo vya kusomea hiyo kozi ni vipi na kila kusomea Grade 1 ifachukua muda gani
 
Inawezekana. Lakini kwenye ajira system itakutema.. maana itaonekana una leseni kubwa ya ghafla ghafla

Maana madaraja yote ya leseni yana tarehe ya siku ya kutolewa... na yana rekodi tra
kumbe, kwahyo ni lazima leseni ikae miaka mi5 au hata ikikaa miaka miwili unaweza kusomea na system kwenye ajira ikakuchukua
 
Habari wadau napenda kuuliza niweze kujuzwa baadhi ya mambo kuhusu kada ya udereva. Nimekuwa nikitaka kufanya kazi Serikalini ya udereva hivyo sikuwa na leseni kwa wakati huo ila kwa sasa nipo VETA nasomea Basic Driving ila lengo langu nipate cheti niweze kusomea VIP pale NIT lakini leseni sikuwa nayo ila kuna mwalimu wa VETA kanambia kuwa anaweza kunifanyia mpango wa kupata leseni ya madaraja yote ili nikimaliza kusoma hii BASIC niunganishe NIT.

Swali langu, Je hii inawezekana maana niliambiwa mpaka usome NIT kozi ya VIP mpaka leseni iwe ime expire na ku expire mpaka miaka mitano au kupata daraja la C au E hivyo naomba kujuzwa naweza nikafanikiwa nikimaliza hiyo Basic nikaunganisha NIT kwa kuwa leseni yangu ina Class zote japokuwa ya kuendesha mabasi, naombeni kujuzwa ndugu zangu.
ina

inategemeana leseni yako ina mda gani mana NIT.hawaangalii chet cha veta..wanaanangalia lesen yako ina mda gan?? kama lesen yako ni class D basi lazma iwe ina miaka 2 na kuendelea....kama ni class E basi lesen yako iwe na mwaka mmojana kuendelea hapo ndo NIT watakupokea usomee VIP. NiT hawana muda na chet chako cha basic driving
 
na je Kuna kitu nashndwaga kukielewa nimeitimu veta Udereva, Nina leseni , cheti cha form iv lakn nakutana na ichi kitu kwny matangazo ya ajira GRADE TEST GRADE I& II& III hii ikoje? Ni kozi gn? Inatolewa mda gani na vigezo vya kusomea hiyo kozi ni vipi na kila kusomea Grade 1 ifachukua muda gani
TEST GRADE II ndo hyi hyo VIP
inachukua week 4 kusomea ada ni laki 4. hakunaga hostel. vigezo n lesen na chet cha fom fo.
 
Back
Top Bottom