Sawa Mkuu,kwa kudrive Dar-Mza ( 1200km) kwa Ist tukifanya makadirio ya 12km/litre ni sawa na
100ltrs ( 160,000/=)
Driver (200,000/=)
Dharura (40,000/=)
Roughly ni kama 400,000/= jumla.
Service?
Maana kasema si zima sana, siyo kwamba ni bovu...
Nigee mie nikupelekee.. Naendesha kwa spidi 20 hadi nafika Mwanza baada ya wiki moja!
Daah...asante mkuu kunifungua machoOya mwanangu lipige service umpe mtu tender adrive.
Kuna uzi wetu pendwa " Ni hasara gani kubwa ulishawahi kuipata ikakurudisha nyuma?
Kua makini. Usije rudi kusimulia ulivyopigwa.
Trc wanayo hiyo huduma, aende tu hapo stesheni watampatia utaratibu na nadhani itakuwa cheap optionHivi hii huduma Shirika la Reli huwa hawana? Na kama hawana, wanaweza kushauriwa ili wawe nayo especially SGR itakapoanza kufanya kazi? Kwa sababu wakiweka angalau Behewa moja tu la aina hiyo kwa kila Trip ya treni Dar-Mwanza, na watu wakawa wanajua kuwa wanayo huduma hiyo, hili behewa lazima lijae.
Nashauri SGR itakapoanza kufanya kazi, TRC waweke Behewa moja kwa ajili ya magari kama mzigo. Na itawalipa kwa sababu mtu kuendesha gari Dar Mwanza inaghraimu mafuta ambayo si chini ya laki moja na hii ni kwa gari ndogo zinzotumia mafuta vizuri kama vile Toyta IST.
Sasa wao wakiweka fee ya laki moja kwa kila gari, ina maana behewa moja kwa safari moja linaweza kuwalipa angalau million 1, na hata likienda Mwanza halafu likarudi tupu bado litakuwa limewalipa
Una hakika huo? I really need this service myself!Trc wanayo hiyo huduma, aende tu hapo stesheni watampatia utaratibu na nadhani itakuwa cheap option
Sio bovu ila ningependa kulipakia.
Hivi unajua SGR ni lini itafika mwanza???Hivi hii huduma Shirika la Reli huwa hawana? Na kama hawana, wanaweza kushauriwa ili wawe nayo especially SGR itakapoanza kufanya kazi? Kwa sababu wakiweka angalau Behewa moja tu la aina hiyo kwa kila Trip ya treni Dar-Mwanza, na watu wakawa wanajua kuwa wanayo huduma hiyo, hili behewa lazima lijae.
Nashauri SGR itakapoanza kufanya kazi, TRC waweke Behewa moja kwa ajili ya magari kama mzigo. Na itawalipa kwa sababu mtu kuendesha gari Dar Mwanza inaghraimu mafuta ambayo si chini ya laki moja na hii ni kwa gari ndogo zinzotumia mafuta vizuri kama vile Toyta IST.
Sasa wao wakiweka fee ya laki moja kwa kila gari, ina maana behewa moja kwa safari moja linaweza kuwalipa angalau million 1, na hata likienda Mwanza halafu likarudi tupu bado litakuwa limewalipa
We toa hela uletewe gari yako kwa. Njia ya Barbara likiwa kwenye Hali hiyo hiyo
TAZARA wana train ya mizigo na watu husafilisha magari yao kwenda Zambia kwa train ya mizigo, nimeona wazo lako yaani unataka ktk train ya abilia waweke bahawa ya mizigo kiti kama hicho hakipo, alafu muhusika anaitaji kusafirisha gari sio kuliendasha kwa sababu zake binafsi ambazo anazijua yeye kibinafsi leteni mawazo ya njia ya kupata usafili ili yeye aridhike na afanye huo upangoHivi hii huduma Shirika la Reli huwa hawana? Na kama hawana, wanaweza kushauriwa ili wawe nayo especially SGR itakapoanza kufanya kazi? Kwa sababu wakiweka angalau Behewa moja tu la aina hiyo kwa kila Trip ya treni Dar-Mwanza, na watu wakawa wanajua kuwa wanayo huduma hiyo, hili behewa lazima lijae.
Nashauri SGR itakapoanza kufanya kazi, TRC waweke Behewa moja kwa ajili ya magari kama mzigo. Na itawalipa kwa sababu mtu kuendesha gari Dar Mwanza inaghraimu mafuta ambayo si chini ya laki moja na hii ni kwa gari ndogo zinzotumia mafuta vizuri kama vile Toyta IST.
Sasa wao wakiweka fee ya laki moja kwa kila gari, ina maana behewa moja kwa safari moja linaweza kuwalipa angalau million 1, na hata likienda Mwanza halafu likarudi tupu bado litakuwa limewalipa
Haya poaTairi vipara? Huna bima? Gari ya wizi? Kama sio, toa tenda watu wakupelekee chombo yako Mwanza mapema tu
Smell fishy !! Lina kesi yoyote au barabarani?Gari sio bovu ila kwa sasa natakankuisafirisha kwa kulipakia. Btw asante kwa the alternative you gave.