just-imagine
JF-Expert Member
- Aug 18, 2015
- 374
- 448
Habari wadau,
kama kuna mtu anamjua au ana husika na usafirishaji wa magari madogo kwa njia ya mizigo (kulipakia kwenye gari kubwa) kutoka DAR mpaka MWANZA, naomba aniunganishe naye.
NB: URGENTLY NEEDED.
kama kuna mtu anamjua au ana husika na usafirishaji wa magari madogo kwa njia ya mizigo (kulipakia kwenye gari kubwa) kutoka DAR mpaka MWANZA, naomba aniunganishe naye.
NB: URGENTLY NEEDED.