Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Same here..I'm eagerly waitingUna hakika huo? I really need this service myself!
Same here..I'm eagerly waitingUna hakika huo? I really need this service myself!
Ndiyo, nilitamani hivyo kabisa kama unavyosema wewe hapa, kwamba kama train ya SGR inatoka hapa Dar saa 12 asubuhi, halafu saa 7 iko Mwanza, mimi naondoka nayo na gari langu likiwa limepakiwa nyuma ya train hiyo. Nikifika Mwanza nashushiwa gari langu huyo nasepa kwenda kijijini kula samaki na kunywa maziwa.Tzr wana train ya mizigo na watu husafilisha magali yao kwenda Zambia kwa train ya mizigo, nimeona wazo lako yaani unataka ktk train ya abilia waweke bahawa ya mizigo kiti kama hicho hakipo, alafu muhusika anaitaji kusafilisha gari sio kuliendasha kwa sababu zake binafsi ambazo anazijua yeye kibinafsi leteni mawazo ya njia ya kupata usafili ili yeye aridhike na afanye huo upango
Kabla ya 2022!Hivi unajua SGR ni lini itafika mwanza???
Au mnasemaje mods
Wazo zuri. Pale atakuta wataalamu wa kazi hizoFika jangwani pana mawakala kibao pale
Jr
Unaota. Dodoma yenyewe kwa mbinde. Kufika Mwanza labda phase ya 5Kabla ya 2022!
Ikishindikana kuisha hadi kufikia kipindi hicho, mimi nitajua ni kutokana na interception ya ugonjwa huu wa CoronaUnaota. Dodoma yenyewe kwa mbinde. Kufika Mwanza labda phase ya 5
Huo mradi unahitaji pesa mingi sana. Na serikali iko na mambo mengi.
Anyway lets seee
Au mnasemaje mods
Unajaribu kuona uimara kwenye kila udhaifu! Good spiritIkishindikana kuisha hadi kufikia kipindi hicho, mimi nitajua ni kutokana na interception ya ugonjwa huu wa Corona
Akishalitengeneza akienda pale rombo anakula vichwa vyake vitatu burudani kabisa mpaka MwanzaWe jamaa umekomaa na hilo gari kama jeneza? Au umebeba uchawi humo?
Kama bovu tengeneza Dar. Likipona test yake ni kutembea hadi mwanza
Au mnasemaje mods
Mawakala wasije wakauza gari njianiFika jangwani pana mawakala kibao pale
Jr
Kuna kampuni inaitwa kung fu,wanafanya hizo kazi za kusafirisha magari kwa kuyapakia kwenye magari yao,wapo very professional ila ni gharama sanaNahitaji kulipakia na si kuendesha. Soma maelekezo vizur, na sio kwamba option ya kuendesha siijui.
Hata ikiwa laki 3 unalipa tu, ni risk sana kuendesha gari toka dar to MwanzaHivi hii huduma Shirika la Reli huwa hawana? Na kama hawana, wanaweza kushauriwa ili wawe nayo especially SGR itakapoanza kufanya kazi? Kwa sababu wakiweka angalau Behewa moja tu la aina hiyo kwa kila Trip ya treni Dar-Mwanza, na watu wakawa wanajua kuwa wanayo huduma hiyo, hili behewa lazima lijae...
Ni kweli kabisa, achilia mbali gharama. Ila hii Serikali ina jicho kubwa sana la kuona opportunities, pamoja na kwamba Serikali huwa hazifanyi biashara. Hii kitu wanaweza wakaifanyia kaziHata ikiwa laki 3 unalipa tu, ni risk sana kuendesha gari toka dar to Mwanza
50k pesa ndogo sana kwa umbali huoutaomba laki 7, weka full tank mbili, mlipe dereva 50,000+ nauli ya kimrudisha DSM.