just-imagine
JF-Expert Member
- Aug 18, 2015
- 374
- 448
- Thread starter
- #21
Gari sio bovu ila kwa sasa natakankuisafirisha kwa kulipakia. Btw asante kwa the alternative you gave.Gari ina ubovu gani? Mbona IST zinatengenzeka vizuri tu tena kwa gharama nafuu. Imekufa nini? Sema tu lina tatizo gani tukutengenezee udrive mpaka mwanza