Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,049
- 24,428
Sawa Mkuu,kwa kudrive Dar-Mza ( 1200km) kwa Ist tukifanya makadirio ya 12km/litre ni sawa na
100ltrs ( 160,000/=)
Driver (200,000/=)
Dharura (40,000/=)
Roughly ni kama 400,000/= jumla.
Service?
Maana kasema si zima sana, siyo kwamba ni bovu...