Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

Mimi nadhani maeneo unatakiwa kufocus ni mawili hapo, kwanza Gym, kubali kuingia gharama ya gym ya kisasa ambayo watakupa trainings za kukata huo mwili na kukupa athletic body maana una mwili mzuri tu wa kukatika na kutengeneza mbavu.

Pili tazama sana ulaji wako ufanye kucut down Calories intake na fats.
Hii imeenda kaka...
 
Khabari zenu,

Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.

Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.

Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.

Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).

Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.

Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.

Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.

Uzi na picha.

View attachment 2646189
Diet ! Diet !Diet plus mazoezi ya kawaida hasa kutembea umbali mrefu na kunywa maji mengi ila inahitaji moyo nakumbuka kuna kipindi nilifikisha kilo 89 ila kwa nilivyoji restrict zikashuka hadi 83 ndani ya miezi miwili na zinazidi kupungua cha msingi.

Epuka matumizi ya sukari nyingi hasa vinyaji ikiwezekana achana navyo kabisa , punguza vyakula vya wanga , kula mboga mboga na matunda kwa wingi , kunywa maji mengi , kula vyakula vya protini kwa wingi i.e maharage, samaki, mayai na e.t.c

Pendelea mazoezi ya kukimbia , push ups kata tumbo na squirt , tembea umbali mrefu , epuka kukaa kaa kizembe yaani ile unakula kisha unakaa kuangalia movie .

IN SHORT FANYA KAZI ZA KUUSHUGHULISHA MWILI ILA UKISHINDWA KABISA TAFUTA MWANAMKE PSYCHO ANAYEPENDA MIKOPO KISHA OA NDANI YA MWEZI TU UMEKUWA MOJA .
 
Jamaa una kitambi mvurugo. Nenda kakope mkopo wa kausha damu au chupi mkononi kitaisha hiko chenyewe tu
FB_IMG_16669873113491271.jpg
 
Khabari zenu,

Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.

Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.

Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.

Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).

Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.

Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.

Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.

Uzi na picha.

View attachment 2646189
Mkuu umeweka na picha kabisa?
 
Mchawi wa unene ni chakula, mazoez ni sehem ndogo sana ya kupunguza mwili, imagine unafanya maxoez then unakuja kula kile ulichopunguza kweny mazoez,


Asubuhi kula ushibe ila mchan usile na usiku kula kidgo sana mf usiku unaweza kula chapat mbili ukalala
Ila linda sana chakula ukifhibiti chakula umedhibiti mwili, mazoez sawablkn kikubwa chakula
 
Ni mimi namuona wa kawaida tu au sielewi? Acha kujichukia, mwili wako si mbaya hata, kikubwa fanya mazoezi ujenge muscles, nyama zikaze na matiti yaondoke. Jitahidi kukimbiza upepo walau asubuhi au jioni. Punguza uroho wa chakula, kuna muda sema tu enough is enough, kula kula kunaponza sana.

And be kind to yourself, acha kujipa majina mabaya sijui kiazi sijui nini.
 
Eeh ndo ivo kidogo tu umehisi njaa, mara jioni umejisogeza kwenye supu ya pweza, umetoka hapo umenunua karanga au korosho kwanini usiwe kibonge.

Ndio maana wadada wengi mjini wana maumbo ya ajabu mno ni nguo tu zinawasaidia ila maumbo yao wakivua yanatisha.
Vitambi au??
 
Ni mimi namuona wa kawaida tu au sielewi? Acha kujichukia, mwili wako si mbaya hata, kikubwa fanya mazoezi ujenge muscles, nyama zikaze na matiti yaondoke. Jitahidi kukimbiza upepo walau asubuhi au jioni. Punguza uroho wa chakula, kuna muda sema tu enough is enough, kula kula kunaponza sana.

And be kind to yourself, acha kujipa majina mabaya sijui kiazi sijui nini.
Asante sana...
 
Back
Top Bottom