Mdigokhan
JF-Expert Member
- May 2, 2022
- 845
- 1,930
- Thread starter
- #181
Hii imeenda kaka...Mimi nadhani maeneo unatakiwa kufocus ni mawili hapo, kwanza Gym, kubali kuingia gharama ya gym ya kisasa ambayo watakupa trainings za kukata huo mwili na kukupa athletic body maana una mwili mzuri tu wa kukatika na kutengeneza mbavu.
Pili tazama sana ulaji wako ufanye kucut down Calories intake na fats.