Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,867
- 40,286
Nokia 3.1 ni ya zamani sana na specs wise ni dhaifu kushinda A10, inamake sense kununua kama inauzwa chini ya laki 2.Mkuu nimeona dukani wanauza Nokia 3.1 sikumbuki vizuri. Hizi zina uhusiano gani na hizi zinazoanzia 6.1 au 7 na pointi zake.