Nahitaji kukodi Crane ya tani 16

Nahitaji kukodi Crane ya tani 16

KIOO

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
6,249
Reaction score
5,932
Habari wakuu.

Naulizia yoyote mwenye crane ya kukodi nahitaji kuna kazi ya kunyanyua kinu na kuweka kwenye base yake tu basi, ni crusher site.

Kama upo nayo au unamfahamu mtu mwenye nayo naomba uniunganishe nae please. Eneo la kazi ni Msata.

Ahsante.
 
Swala sio kunyanyua kinu na kuweka kwenye base yake tu! Swala ni mpaka hiyo Crane ifike hapo tayari ishatumia mafuta kama ya laki mbili na kurudi mafuta kama ya laki mbili. Bado service charge. So wewe umejipangaje? Una sh ngapi?
NB:
Tafuta matrafic hapo karibu wanawajua watu wa crane. Maana ajali zikitokeaga utaona kuna crane maeneo ya karibu kwa ajili ya kunyanyua...
 
Swala sio kunyanyua kinu na kuweka kwenye base yake tu! Swala ni mpaka hiyo Crane ifike hapo tayari ishatumia mafuta kama ya laki mbili na kurudi mafuta kama ya laki mbili. Bado service charge. So wewe umejipangaje? Una sh ngapi?

Ni kweli unachosema mkuu. Ila ni vizuri mtu akasema bei ili nijue kama naweza ku-afford au la. Nikisema mie nitaje bei yangu naweza nikataja bei ndogo halaf ikaonekana ndivyo sivyo mkuu.

NB:
Tafuta matrafic hapo kabiru wanawajua watu wa crane. Maana ajali zikitokeaga utaona kuna crane maeneo ya karibu kwa ajili ya kunyanyau...

Ooh Okay, nimekupata vyema mkuu. Thanks a lot bro.
 
Weka namba.

Ni kweli namba ni muhimu kiongozi ili mtu mwenye nayo au mwenye kufahamu mtu aliye nayo aweze kunipigia.

Mi naona ni vyema mtu mwenye kufahamu akani-check PM tuongee kuliko kuweka namba hadharani ikatumiwa hata na watu isiyowahusu mada husika.

Ahsante mkuu.

Karibu.
 
Yes, kinu kipo Lugoba kabla hujafika Msata ni kijiji cha mazizi mkuu.

Unayo crane tufanye kazi...?
Kuna jamaa yangu anakodisha mitambo ila hayuko JF,kesho nitakuunganisha nae kama utakuwa bado haujafanikiwa
 
Crane hukodishwa kwa saa na inategemea inaenda wapi...
Tulikodi sabasaba na tukawa tunachajiwa laki 3 kwa saa mpaka ikamaliza kazi....
Sasa piga mahesabu ya mafuta kukufuata na kurudi plus hela ya kukodi...
 
Ni kweli unachosema mkuu. Ila ni vizuri mtu akasema bei ili nijue kama naweza ku-afford au la. Nikisema mie nitaje bei yangu naweza nikataja bei ndogo halaf ikaonekana ndivyo sivyo mkuu.



Ooh Okay, nimekupata vyema mkuu. Thanks a lot bro.
Nenda Wazo hill pale STI siku hizi wanaita Wazo Engineering.
Kuna mzungu aitwa Bent
 
Habari wakuu.

Naulizia yoyote mwenye crane ya kukodi nahitaji kuna kazi ya kunyanyua kinu na kuweka kwenye base yake tu basi, ni crusher site.

Kama upo nayo au unamfahamu mtu mwenye nayo naomba uniunganishe nae please. Eneo la kazi ni Msata.

Ahsante.
Nimekupm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom