Nahitaji Kujiunga na upadre

Nahitaji Kujiunga na upadre

Hahahhahahha duh sio kwa tabiri hizo mkuu, hapa watu wengi wazinguaji ndo maana tunajaribu kukopu nao, ndio maana tunatafuta shirika kama jesuit ambalo linataka mtu anayeweze kuenenda na mazingira vizuri
Ngoja nikuulize maswali ya mwisho ukishindwa futa huu Uzi;
1. Liturujia ni nini?
2. Ekaristi takatifu ni nini?
3. Kwaresima ni nini?
4. Mwaka Wa kanisa ni nini?
5. Njia ya msalaba ina vituo vingapi?
6. Kuna mafungu mangapi ya rosali.
===========================
Nasubiri majibu nilale!
 
Padri Mcharo
Kipindi cha Dallu hakukuwa na mapadre wa mashirika jimboni Geita. Usijekuwa ni yule ''mimi niliye mdogo ........'' Baada ya Balina Geita ni Dallu........, Hahahahaaaaaaaa
 
Ngoja nikuulize maswali ya mwisho ukishindwa futa huu Uzi;
1. Liturujia ni nini?
2. Ekaristi takatifu ni nini?
3. Kwaresima ni nini?
4. Mwaka Wa kanisa ni nini?
5. Njia ya msalaba ina vituo vingapi?
6. Kuna mafungu mangapi ya rosali.
===========================
Nasubiri majibu nilale!
Sasa ukijibu unaambiwa ume google mkuu, bora lipi mkuu
 
Padri atakuwa wewe!
Shirki ni dhambi lakini viongozi wenu wa dini ndio wapiga ramli no moja.Usilete dharau tusije tukapigishana ban bure.
Watu wanajitafutia umaarufu kazi za watu
 
Naomba kupata mawasiliano ya mashirika mbalimbali ya mapadre ambayo naweza kujiunga nayo,
Kiwango cha elimu nina degree moja na umri nina miaka 24. Natamani kumtumikia Mungu katika utume huo.
Kwa sasa nipo dar es salaam
kama kweli upo serious ni pm. nikupe mwongozo mzuri
 
Utaweza kuishi bila mke au unatania? Ni vizuri ungeanza seminary o level na A leval ili awe na mda wa kutafakari zaidi. Kama una nia kweli piga falsafa ya uhakika ili ujue kweli kuna Mungu anaesema usioe ili ufanye kazi yake?? Na uwepo wa Mungu kama ni kweli, kutana na Karl Marx
 
Nimeutumikia Upadri kwa takriban miaka 9 hakuna cha maana kule.
Alafu we dogo hii tabia ya kuchafua daraja Takatifu kimizaha itakutokea puani. Fanya mizaha na issues zingine lakini si mambo ya Mungu. Ukiendelea na tabia hii ya kuchafua Upadre kihuni matokeo yake ipo siku utakutana na hasira za aliyeweka daraja hilo....
 
Miaka 24, Utaupata upadri ukiwa na miaka 40. Miaka 16 ni ya kusomea Huduma hiyo ya upadri na huku ukichunguzwa kwa hali ya juu kabisa.

Kumbuka kosa moja tu latosha kutimuliwa. Na makosa wanayofukuzwagwa huko ni madogo sana.

Na kwa maongezi yako tu naona hutaweza hiyo Huduma. MF, Umeshauriwa uanze kufanyia Kazi za kujitolea kanisani na pia uwe karibu na paroko Wa parokia yako umejibu " HUKO NI KUJIPENDEKEZA NA WEWE HUWEZAGI KUJIOENDEKEZA "
Mpaka hapo tu umekosa sifa muhimu ya "UNYENYEKEVU" Huko hawataangalia digrii yako, Huko wanaangalia mambo mengi tena ni madogo madogo tu yahusuyo rabia na mwenendo mzima Wa maisha yako na jinsi gani unavyoweza kuishi na jamii yako.
Umchoyo? Umwenyehasira Kali? Umpenda maisha ya anasa? Umwenye majivuno? Umtii kwa watu wote ?

Hayo mambo madogo madogo ndo husababisha darasa LA watu 30 mnaosomea upadri wanaokuja kuupata ni watatu au watano wengine wote hufyekwa njiani kabla ya kuifikia.

Kabla hujaufikia upadri ,kuna ushemasi Mdogo, Ushemasi Mkuu na ukitoka hapo ndo unakuja kupadirishwa na kuwa Padri sasa na kupangiwa eneo LA kwenda kutoa Huduma.
 
Naomba kupata mawasiliano ya mashirika mbalimbali ya mapadre ambayo naweza kujiunga nayo,
Kiwango cha elimu nina degree moja na umri nina miaka 24. Natamani kumtumikia Mungu katika utume huo.
Kwa sasa nipo dar es salaam

Kwa kufanya hivyo ulivyofanya tayari umeshashindwa maana yake hauna sifa
 
Utaweza kuishi bila mke au unatania? Ni vizuri ungeanza seminary o level na A leval ili awe na mda wa kutafakari zaidi. Kama una nia kweli piga falsafa ya uhakika ili ujue kweli kuna Mungu anaesema usioe ili ufanye kazi yake?? Na uwepo wa Mungu kama ni kweli, kutana na Karl Marx
Ukienda kusoma si ndo unakutana na hilo soma la falsafa, maana hayo ndo masomo yao
 
Back
Top Bottom