Ntolonyonyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,231
- 2,358
Sababu ya approach yako....Kwa nn unapingana na wito wangu mkuu
Hivi umri huo kweli hujui uanzie wapi, hilo ni swala la kiroho zaidi, kwa nn usiende mshirikisha padre wa parokia yako......na ndo hatua muhimu.....
Jambo kama hilo liko too specific wala halihitaji kutua jina fake humu JF....