Mkuu fafanua tu ali ajue vizuri usimfiche kitu kabla ya kuingia hukoNina mengi ila naona utakata tamaa mapema. Elewa 8 kati ya 10 ya unaowaona mapadre sio mapadre. Pa kuanzia nenda kwa paroko wako akupe miongozo vizuri kwani kila shirika lina mtindo au karama tofauti.
