- Thread starter
- #41
Hahahahah uwezi kufanya kazi ya padre kama huna wito maana unaenda kuishi ya ufukara kwa miaka yote mkuuNi vyuma vya kitaa aau ni wito kwel mkuu,maaana haya mambo ni mazito,..utembeze bahasha mtaan weee na degree yako mwisho wa siku useme una wito,..unakua huna tofaut na lusekelo au gwajima ingawa wao baada ya msoto sana walisema walitokewa na Mtukufu wetu Yesu wakaambiwa wawe wachungaj