Nahitaji Kujiunga na upadre

Nahitaji Kujiunga na upadre

Ndio, kama huna hata record ya seminary ni ngumu. Angalau tuliosoma seminary tunaweza kurudi kwasababu tunakuwa tunajulikana kwenye system
Kwa nn uliacha kwendelea na upadre mkuu, nini kilikukimbiza??
 
Wanaoitwa wanakuwaje mkuu?? Ebu weka vizuri maelezo.
Wewe huna wito wowote Wa kipadre! ..utaenda kutuharibia masister wetu bure!...mtu mwenye wito Wa upadri Kwa umri wako huo lazima ungekuwa unajua taratibu!
Kwasababu kanisa katoliki lina mafundisho, mkatoliki mwenye mafunzo yote ya sakrament hawezi shindwa tambua sehemu na namna ya kujiunga upadre;
Sasa wewe unataka kuwa padre utuvuruge
 
Wewe huna wito wowote Wa kipadre! ..utaenda kutuharibia masister wetu bure!...mtu mwenye wito Wa upadri Kwa umri wako huo lazima ungekuwa unajua taratibu!
Kwasababu kanisa katoliki lina mafundisho, mkatoliki mwenye mafunzo yote ya sakrament hawezi shindwa tambua sehemu na namna ya kujiunga upadre;
Sasa wewe unataka kuwa padre utuvuruge
Hahahaha wasi wasi wako mkuu, padre wa kweli anatengenezwa kwa misingi mkuu, mtu aenyeke miaka 10 halafu aje kuharibu si itakuwa maajabu hayo?
 
Ushahuri mzuri, ila ndo kuanza kujipendekeza wengine hatujazoea ila taratibu mambo yataeleweka. Ila nilitaka nipate connection ya moja kwa moja
Suala siyo kujipendekeza bali kupata fursa ya kuyajua maisha halisi unayotaka kuyaendea, lakini pia huyo padre wa eneo lako ikiwa ni pamoja na jumuia watakuwa na jukumu la kuelezea wasifu wako kwa shirika husika. Kama hawakujui watasema nini? Wadanganye?
 
Ndio, kama huna hata record ya seminary ni ngumu. Angalau tuliosoma seminary tunaweza kurudi kwasababu tunakuwa tunajulikana kwenye system
Hapana mkuu, hata ambaye hajapita seminary anaweza kuingia na kuhudumu tena vizuri kabisa.

Hizo seminary ndogo siyo kigezo cha kuingia bali elimu ya kidato cha sita pamoja na wito.
 
Kwahiyo Na ww unataka usiwe unagegeda? Hesabu miaka 15 mbele ndio utakuwa tayari padre kama ukianza masomo sasa.
 
Hapana mkuu, hata ambaye hajapita seminary anaweza kuingia na kuhudumu tena vizuri kabisa.

Hizo seminary ndogo siyo kigezo cha kuingia bali elimu ya kidato cha sita pamoja na wito.
Mkuu inaonekana una maarifa na hizi mambo embu toa experience mkuu, maana najua humu watu wa kila idara wapo
 
Kwahiyo Na ww unataka usiwe unagegeda? Hesabu miaka 15 mbele ndio utakuwa tayari padre kama ukianza masomo sasa.
Uvumilivu ndio msingi mkuu....maisha ya utawa ni mazuri ukiamua kujitoa kwa ajili hiyo
 
Sasa dogo umri huo tayari maisha yamekuvuruga kias hicho..ukifika 30 si utakuwa mganga wa kienyeji..rubbish
Hahahahah kwa hiyo tuliaochagua wito mkuu, ndo tumeharibikiwa?? Yaani kuchagua kuishi maisha ya ufukara ndo kuonekana watu wa ajabu
 
Hadi umefikia umri huo utakuwa umeshazini mara 107. Sijui kama utafaa.
 
Ni vyuma vya kitaa aau ni wito kwel mkuu,maaana haya mambo ni mazito,..utembeze bahasha mtaan weee na degree yako mwisho wa siku useme una wito,..unakua huna tofaut na lusekelo au gwajima ingawa wao baada ya msoto sana walisema walitokewa na Mtukufu wetu Yesu wakaambiwa wawe wachungaj
 
Back
Top Bottom