Sikia huu USHUHUDA labda UTAWEZA kukusaidia..
Niliajiriwa Idara x katika halmashauri z, nilikua na diploma.
Ila kiukweli Mimi nilipenda sanaa fani y.
Baada ya miaka 2 nika apply chuo course y na kuomba ruhusa ya masomo.
Nikaenda kusoma masomo ya fani y.
Nikaunga na masters kabisaa ya fani y.
Nilivyorudi kutoka masomoni nikahamishiwa bomani kutoka kijijini nilipokuwa naitumikia fani x, nikawa mfanyakazi wa Idara y bomani.
Nikakuta mkuu wa Idara y amepata shavu la kwenda kusoma phD ulaya, hivyo nikawa na kaimu huku jamaa ananifundisha kazi.
Nasubiri mwezi wa 7 kufanyiwa RECATEGORIZATION ili niwe mkuu wa Idara kamili wa y.
Then na wewe.....
Nenda chuo kasome bachelor ya IT then maliza.
peleka Cheti kwa utumishi wako subiri RECATEGORIZATION.
Huku unasubiri kubadilishiwa muundo.
Ukimaliza unaweza kuwa unatafuta Kazi kwengine kupitia ajira.go.tz au wizara ya utumishi huwa wanapost nafasi kibao za kufanyia Kazi UN na AU na kwengine huko (int. Org) kwa watumishi wa umma..
Chukua hatua....
Mimi nilichukua hatua, sikutaka ndoto zangu zife.
Sikuipenda Kazi x, umasikini wa nyumbani ulinifanya nikaisomee na kuajiriwa serikalini ili tu nitoke kwenye mikono ya kulelewa na ndugu.
Sikuacha ndoto zangu za kuwa y KUFA.
#YNWA
Mkuu mishahara ya ualimu siyo midogo kama unavyodhani. Kuna watu wana mishahara midogo sema tu siyo watu wa kulalamika.Nimechoka tu na taaluma ya ualimu Kazi nyingi maslahi madogo wakati kuna watu wana level ya Elimu hiyo hiyo lakin maslahi yao makubwa niliwaza nijiendeleze nikasome postgraduate diploma ya computer science au IT ni hame kabisa kutoka Ualimu niende sector nyingine ndani ya serikali niombe kubadilishiwa
I correct you.Mkuu mishahara ya ualimu siyo midogo kama unavyodhani. Kuna watu wana mishahara midogo sema tu siyo watu wa kulalamika.
Hivi unajua nurses wa diploma anayeanza kazi hafikishi Laki 5 kwa mwezi?
Wafanyakazi wenye mishahara mikubwa ni wale wanaofanya kazi kwenye mashirika maana huko mishahara yao hupangwa na bodi. Lakini wote wanaotegemea kima cha chini haku a tofauti kubwa ya ajabu.
Na kupata kazi huko kwenye mashirika siyo rahisi.
Tofauti kubwa iliyopo ni kwamba Ualimu hauna marupurupu+tips. Lakini Walimu wana muda mwingi sana.
Afya madaraja yao ya misharaha ni tofauti lakini hakuna tifauti kubwa na elimu.I
I correct you.
Halmashauri wenye mishahara minono ni afya.
Na wao ndio wanamarupurupu mengi kwasababu hela zao wao sio own source za halmashauri, zinatoka juu huko.
Japo mishahara ni midogo Ila afya afadhali.
#YNWA
Punguza dharau.Ualimu ni wito, hukujua hilo mapema??
Af niaje we mwalimu hujui hata kuandika??
Unawafundisha manini watoto wetu
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Diploma ya afya ni laki 6 na usheAfya madaraja yao ya misharaha ni tofauti lakini hakuna tifauti kubwa na elimu.
Mashirika wanalipwa zaidi hasa yale makubwa
Mkuu mishahara ya ualimu siyo midogo kama unavyodhani. Kuna watu wana mishahara midogo sema tu siyo watu wa kulalamika.
Hivi unajua nurses wa diploma anayeanza kazi hafikishi Laki 5 kwa mwezi?
Wafanyakazi wenye mishahara mikubwa ni wale wanaofanya kazi kwenye mashirika maana huko mishahara yao hupangwa na bodi. Lakini wote wanaotegemea kima cha chini haku a tofauti kubwa ya ajabu.
Na kupata kazi huko kwenye mashirika siyo rahisi.
Tofauti kubwa iliyopo ni kwamba Ualimu hauna marupurupu+tips. Lakini Walimu wana muda mwingi sana.
Serikalini hawaajiri Postgraduate.Nimechoka tu na taaluma ya ualimu Kazi nyingi maslahi madogo wakati kuna watu wana level ya Elimu hiyo hiyo lakin maslahi yao makubwa niliwaza nijiendeleze nikasome postgraduate diploma ya computer science au IT ni hame kabisa kutoka Ualimu niende sector nyingine ndani ya serikali niombe kubadilishiwa
Gap kama Laki na ushee Mkuu, ndio utumie gharama kubwa kuitafuta hiyo tuMishahara inatofauti san kaka mfano watu wa afya wao wako tofauti kabsa hayo ni maeneo ya kairuki miaka ya nyuma na utofauti wa afya na Ualimu
“Alisema kwamba mishahara huzingatia ngazi ya elimu, ambapo ngazi ya astashahada kwa upande wa Serikali Kuu ni Sh 390,000, kada ya walimu Sh 419,000, wauguzi Sh 432,000 na madaktari ni Sh 432,000.
Kwa upande wa stashahada, Serikali Kuu ni Sh 525,000, walimu 530,000 wauguzi 680,000 na madaktari ni Sh 680,000.
Kairuki alisema ngazi ya shahada kwa upande wa Serikali Kuu ni Sh 710,000, walimu 716,000, wauguzi 980,000 na madaktari ni Sh 1,480,000.”
Serikalini hawaajiri Postgraduate.
Postgraduate ni added advantage.
Nenda kasome bachelor ya hicho upendacho, then unaajiriwa upya/kubadilisha muundo/recategorization.
Mimi nibadilishiwa muundo kwasababu ya bachelor na hii masters ndio imenipa hiyo nafasi ya ukuu wa Idara.
Wewe unatakiwa kusoma bachelor mpyaa.
#YNWA
Inayoajiri ni bachelor.Kumbe ni mpaka nikasome upya nilijua nikifanya hivo itakuwa rahisi kufanyiwa recategorization kumbe ni shahada tu na vip kuhusu masters endapo nikisoma itakuwa msaada kwangu kuweza kubadili muundo
Mkuu mishahara ya ualimu siyo midogo kama unavyodhani. Kuna watu wana mishahara midogo sema tu siyo watu wa kulalamika.
Hivi unajua nurses wa diploma anayeanza kazi hafikishi Laki 5 kwa mwezi?
Wafanyakazi wenye mishahara mikubwa ni wale wanaofanya kazi kwenye mashirika maana huko mishahara yao hupangwa na bodi. Lakini wote wanaotegemea kima cha chini haku a tofauti kubwa ya ajabu.
Na kupata kazi huko kwenye mashirika siyo rahisi.
Tofauti kubwa iliyopo ni kwamba Ualimu hauna marupurupu+tips. Lakini Walimu wana muda mwingi sana.
Kuna wizara ya mambo ya ndani huko ndio kuna sector ya uhamiaji na idara zake nimesema wizara ya uhamiaji nikiwa na lengo la kumaanisha sector ya uhamiaji tu
Acha kwanza huo Ualimu.Yani binadamu tulivo mtu yuko tayari atafute kosa tu akukosoe iwe la kiuwandishi au kimamtiki ila hayupo tayari kukupa ushauri hata kama ameelewa ulichouliza ni sawa na karatasi nyeupe yenye nukta nyeusi utauliza tu kwa nini ina nukta nyeusi ila hutauliza mbona ni nyeupe binadamu ndivo tulivo
Hata kama mtu anashida ya kitu ataogopa kuuliza kwa kuogopa kukosolewa jamii forum
mkuu pole sana na changamoto yako
Piaa pole na changamoto za sisi wakosoaji kwenye uzi wako. watu wamekosoa kwa sababu unainekana hujui unachotaka au kama unakijua umeshindwa kukielezea
Any way............
Elimu ambayo inakutambukisha kifani ni Degree. Hii ni muhimu sana.
Usijiangaishe na mambo ya post graduate hasa kama degree yako ya kwanza ni ya ualimu.
Fanya hivi, Soma Diploma potential ya kile unachokitaka, au kama una nguvu soma degree upya kabisa ndio uamze kutafuta ajira upya au kufanyiwa Recategorization
Pia kama hutojali, Jifunze fani ya udereva na uwe compitent uwe VIP driver halafu anza kuvizia nafasi za udereva kwenye Taasisi/ Mashirika ya umma. Huko kuna madereva wana hela hata maofisa wako hapo shuleni au wilayani hawatii mguu.
Kufanya icho nilicho kueleza haizidi mwaka mmoja kama utakuwa flexible.
Mkuu 713 haya yaliyosemwa hapa ni madini tupu. Zingatia na uyafuate ikiwa una nafasi na nia.Sikia huu USHUHUDA labda UTAWEZA kukusaidia..
Niliajiriwa Idara x katika halmashauri z, nilikua na diploma.
Ila kiukweli Mimi nilipenda sanaa fani y.
Baada ya miaka 2 nika apply chuo course y na kuomba ruhusa ya masomo.
Nikaenda kusoma masomo ya fani y.
Nikaunga na masters kabisaa ya fani y.
Nilivyorudi kutoka masomoni nikahamishiwa bomani kutoka kijijini nilipokuwa naitumikia fani x, nikawa mfanyakazi wa Idara y bomani.
Nikakuta mkuu wa Idara y amepata shavu la kwenda kusoma phD ulaya, hivyo nikawa na kaimu huku jamaa ananifundisha kazi.
Nasubiri mwezi wa 7 kufanyiwa RECATEGORIZATION ili niwe mkuu wa Idara kamili wa y.
Then na wewe.....
Nenda chuo kasome bachelor ya IT then maliza.
peleka Cheti kwa utumishi wako subiri RECATEGORIZATION.
Huku unasubiri kubadilishiwa muundo.
Ukimaliza unaweza kuwa unatafuta Kazi kwengine kupitia ajira.go.tz au wizara ya utumishi huwa wanapost nafasi kibao za kufanyia Kazi UN na AU na kwengine huko (int. Org) kwa watumishi wa umma..
Chukua hatua....
Mimi nilichukua hatua, sikutaka ndoto zangu zife.
Sikuipenda Kazi x, umasikini wa nyumbani ulinifanya nikaisomee na kuajiriwa serikalini ili tu nitoke kwenye mikono ya kulelewa na ndugu.
Sikuacha ndoto zangu za kuwa y KUFA.
#YNWA
Na kama yupo mji wenye vyuo anaweza kusoma hata diploma kwa kujiiba maana walimu wana muda mwingi tu kufanya yao.Pole sana mkuu kwa changamoto unazopata kutoka kwa wadau.
Naomba nikutaarifu kuwa kwa ngazi uliyonayo sasa( degree) ndio ngazi kubwa ya elimu inayotambuliwa na serikali. Ni ngumu sana hata kupata ruhusa kwa mwajiri wako kwenda kuchukua degree nyingine. Yaani akupe ruhusa ya miaka mitatu au minne? Ni ngumu.! Ruhusa unayoweza kupata wew ni ruhusa ya miezi isiyozidi 18, yaan wakiamini unaenda kujiendeleza kwa ngazi ya masters! Ungekuwa umeajiriwa na diploma ungekuwa na nafasi hiyoila kwa degree hapana!
USHAURI
Achana na mawazo ya kubadili hiyo fani kwani ni ngumu kupata ruhusa.
Jambo la msingi pambana ukasome Masters yoyote inayorelate na mambo ya uongozi na zaidi na zaid... Wakati huo kama utaweza jiingize kwenye siasa ya chama tawala uuze CV yako na
ili uweze pata connection mbalimbali ikiwemo kuteuliwa kuwa afisa elimu wilaya au mkoa!