Habari wana jukwaa..
Natumai mko poa, niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu. mimi ni mwalimu niliyehitimu katika shahada ya ualimu mwaka 2015 katika masomo ya chemistry na mathematics ambae bado sijapata ajira.
Nahitaji kubadili fani kwenda kusomea kati ya kozi zifuatazo;
1. Diploma in clinical medicine(passion)
2. Diploma in marine and mechanical engineering
3. Diploma in radiography/radiology
4. Diploma in biomedical engineering
5. Masters of science in industrial chemistry
Naombeni ushauri wenu kozi ipi nzuri kwenye soko la ajira na malipo kati ya hizo tafadhali.
Natumai mko poa, niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu. mimi ni mwalimu niliyehitimu katika shahada ya ualimu mwaka 2015 katika masomo ya chemistry na mathematics ambae bado sijapata ajira.
Nahitaji kubadili fani kwenda kusomea kati ya kozi zifuatazo;
1. Diploma in clinical medicine(passion)
2. Diploma in marine and mechanical engineering
3. Diploma in radiography/radiology
4. Diploma in biomedical engineering
5. Masters of science in industrial chemistry
Naombeni ushauri wenu kozi ipi nzuri kwenye soko la ajira na malipo kati ya hizo tafadhali.