Nenda Magufuli bus terminal uliza mabasi yanayokwenda Maputo kupitia Malawi.Habari wakuu,
Nahitaji kwenda msumbiji maputo kwa njia ya barabara (bus).
Ushauri wenu wakuu na wazoefu huwa mnafanyaje fanyaje? au ni gari zipi zinaelekea huko?
Naomba kuwasilisha.
Uislam ni dini ya haki inakuwaje tena kuna kikundi cha islamic state? Hapa Uislam ni kikwazo cha maendeleoNenda Magufuli bus terminal uliza mabasi yanayokwenda Maputo kupitia Malawi.
Usipite njia ya Mtwara kuvuka daraja la mtambaa swala, huko ni kimeo na Islamic state wapo upande huo.
Ahsante Mkuu tuko pamoja sanaAu panda Falcon au Taqwa from Dar to Harare, pale Harare mabus ya kumwaga, unaweza chukua la straight Maputo au via Joberg then Maputo, enjoy your trip mkuu, usisahau kutupia vipicha vya njiani
Siku nyingine useme unakoanzia safari ni wapi..naona wadau hapo wamekujibu kwa kudhania tu kwamba upo DarHabari wakuu,
Nahitaji kwenda msumbiji maputo kwa njia ya barabara (bus).
Ushauri wenu wakuu na wazoefu huwa mnafanyaje fanyaje? au ni gari zipi zinaelekea huko?
Naomba kuwasilisha.
wako sahihi kabisa, ni kuanzia Dar obvious. Nadhani imeeleweka automaticallySiku nyingine useme unakoanzia safari ni wapi..naona wadau hapo wamekujibu kwa kudhania tu kwamba upo Dar
naenda US embassy mkuu, ya kwetu imejaa hakuna appointments kabisaVip shekhe Khalid msumbiji kufanya nin tena
mkuu umetuachaMwaselwa bwanji akuru, koma mlikuti tikupacheni msio wa bwino wakufikila pamaputo.
Kwa nini usiende Nairobi ama Kampala?naenda US embassy mkuu, ya kwetu imejaa hakuna appointments kabisa
Twaselwa bwino achimwene/asisi, zikuyenda?Mwaselwa bwanji akuru, koma mlikuti tikupacheni msio wa bwino wakufikila pamaputo.
kuko full kuliko hata bongoKwa nini usiende Nairobi ama Kampala?
Hahaha sawa ndugu Khalid kama unaendea jambo la kheri basi twakuombea, ila unyoe ndevunaenda US embassy mkuu, ya kwetu imejaa hakuna appointments kabisa
Koma mlikuti achimwe?Twaselwa bwino achimwene/asisi, zikuyenda?
Lugha ya msumbijimkuu umetuacha
Sehem gani?Lugha ya msumbiji