Nahitaji kazi nipate laki 8 nadaiwa chuoni tokea 2021

kissbren

Member
Feb 12, 2023
14
55
Habari wanajukwaa

Mimi ni binti wa miaka 28 nimesoma diploma ya pharmacy changamoto niliyonayo ni kusikia nimemaliza chuo 2020 sjabahatika kupata Chet nadaiwa sina wazazi.

Naombeni mnisaidie jamani hata kazi yoyote tafadhal nichukue chet changu asanteni Mungu awabariki.
 
Habari wanajukwaa

Mimi ni binti wa miaka 28 nimesoma diploma ya pharmacy changamoto niliyonayo ni kusikia nimemaliza chuo 2020 sjabahatika kupata Chet nadaiwa sina wazazi.

Naombeni mnisaidie jamani hata kazi yoyote tafadhal nichukue chet changu asanteni Mungu awabariki.
Uko wapi?
 
Habari wanajukwaa

Mimi ni binti wa miaka 28 nimesoma diploma ya pharmacy changamoto niliyonayo ni kusikia nimemaliza chuo 2020 sjabahatika kupata Chet nadaiwa sina wazazi.

Naombeni mnisaidie jamani hata kazi yoyote tafadhal nichukue chet changu asanteni Mungu awabariki.
Usiseme wewe ni Binti wa Miaka 28 Sema hiviiiii
Wewe Ni shangazi wa Miaka 28 Au Mama uliyefiwa (mjane) maana ushatoa mimba Tatu. Sasa anzia hapo
 
Pole Sana , Ila ingekuwa vizuri uka-list aina za kazi unazoweza kufanya .

Mfano
Kupika
Kuuza duka &store
Kufundisha

Ili MTU anyetaka kukupa kazi asijaze maswali mengi kichwani
 
Muache ushamba!
Hao jamaa wamezingua ..ninachomshauri huyo dada asitumie kutokuwa na wazazi au tatizo la kusikia kama chambo ya huruma za. Watu..Bora yeye ana cheti Mimi niliishia chuo mwaka wa pili civil engineering kwa tatizo hilohilo la kusikia liliponianza..
 
Habari wanajukwaa

Mimi ni binti wa miaka 28 nimesoma diploma ya pharmacy changamoto niliyonayo ni kusikia nimemaliza chuo 2020 sjabahatika kupata Chet nadaiwa sina wazazi.

Naombeni mnisaidie jamani hata kazi yoyote tafadhal nichukue chet changu asanteni Mungu awabariki.
Chuo gani umesoma?
 
Habari wanajukwaa

Mimi ni binti wa miaka 28 nimesoma diploma ya pharmacy changamoto niliyonayo ni kusikia nimemaliza chuo 2020 sjabahatika kupata Chet nadaiwa sina wazazi.

Naombeni mnisaidie jamani hata kazi yoyote tafadhal nichukue chet changu asanteni Mungu awabariki.
Duniani hakuna mru asiye na wazazi, funguka vizuri na utoe control number ya chuo
 
Back
Top Bottom