Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,027
- Thread starter
- #41
Asante sana mkuuHapo hakuna mwanamke wa kuolewa in short piga chini, Fanya mpango wa kazi ukiwa na pesa ndio urudi
Asante sana mkuuHapo hakuna mwanamke wa kuolewa in short piga chini, Fanya mpango wa kazi ukiwa na pesa ndio urudi
Najua hakuna mtu ambaye anaweza kijitosheleza kwenye maamuzi ila Mungu yupo kwenye kila upande.Hakuna mtu anayependa kuambiwa nakupenda huo upendo unatakiwa ujionyeshe wenyewe mzee.
"Eti nakupenda ila sina cha kukupa" huku anaona shoga zake wanapendeza wanatolewa out!
mzee utagongewa saana na atakudharau tu.
Wewe naona unajipa mizigo miwili wa kutafuta kazi na wa kumfikiria mtu mwingine.
Mwache tena mueleze mama sina kazi siwezi kukuhudumia na pia naona nakuchelewesha maisha wenzako wanaolewa naona nakupa wakati mgumu...hapo achague kusuka au kunyoa...
AsanteHuyu jamaa matatizo hayo ni kama anajitakia tu maana dalili kuwa mwanamke huyo hafai zi wazi kabisa. Halafu sijui vichwa vyetu vikoje mpaka MTU awaze kwamba kuajiriwa ni muhimu kiasi hiki.
Asante sana kwa ushauri nitazingatia kuzuia haya maumivuEbwanaeeee kimbia mke wa kuishi naye sio huyo. Anakufanyia hivi bado wachumba, akiwa mkeo atafanya zaidi ya hapo, hata kama ukipata kazi akkupenda inamaana si wewe uliyemwoa bali ni hiyo kazi so siku kazi ikikosekana basi hatakuwa na mapenzi tena. Nakushauri nenda kijijini kwenu ukatafute mschana mzuri uoe. Take my advice nina miaka 9 kwe nye ndoa najua mke na ninajua mpigaji anafananaje
Asante sana MadamHuyp hakupendi anakupendea ajira ili muwe mnakula wote mshahar,,bora ukae single
Naomba nije muda huuHebu nambie mda ambao uko online kama dakika 20 hivi uje pm nikusaidie namna yaku reduce vitu flan and accept the reality.
Usilete masihara lakini
Fanya mambo yako peke yako utapata mwanamke anaekupenda bila pesa na usimuamboe mambo yako mdanganye hata kua bado unasoma,huku ukifanya michakato yako,uone kama atakupenda ama la,,akikupenda basi jua huyo anafaa nawe utajiongezaAsante sana Madam
Asante sana kwa mara nyingineFanya mambo yako peke yako utapata mwanamke anaekupenda bila pesa na usimuamboe mambo yako mdanganye hata kua bado unasoma,huku ukifanya michakato yako,uone kama atakupenda ama la,,akikupenda basi jua huyo anafaa nawe utajiongeza
Pole na kwako pia Mkuu.Maswahibu yanatukuta wengi Kwa namna tofauti.Nilivyoshinda na kuimaliza siku ya Jana Mungu anajua. Pole Mkuu,relax kama mie na usimweke kipaombele huyo binti.Hawa watu ni hatari.
Inaonekana haukuwahi ku date na msichana mwengine kabla dah! Ilaaa mkuu chukua uamuzi ulio sawa kama umeweza kufuma txt wanazo chat na mtu mwengine vp kuhusu kugegedwa nje mkuu? Ni hivi mwanamke anayekupenda angefanya hata kwa siri sana ww usijue chochote ila mpaka umefuma txt na anavyoku force hivyo huyo hana mapenzi mkuu sasa ni ww na akili yako CHUKUA UAMUZI SASHIHIAsante sana japo ananivunja moyo sana ila mapenzi ya dhati ninayo kwake.
