Nahitaji Faraja Moyo wangu Unateketea.

Nahitaji Faraja Moyo wangu Unateketea.

Sasa ukipata ajira mafunga hiyo ndoa na ikatokea bahati mbaya ukaipoteza hiyo ajira, hiyo ndoa itaendelea kuwepo kweli!. Waswahili husema dalili ya mvua ni mawingu. sometimes usiruhusu hisia zako zitawale akili yako.
Sorry , hapo juu namaanisha, mkafunga ndoa
 
Sasa unampa pole ya nini? Hajanyanyaswa anajinyanyasa...

Shoga zake wamekwishaolewa.. na mwanamke hawezi kuishi bila kuangalia wenzake wamempiku au amewapiku.

Kama hauna chochote Mwanamke atakayekuvumilia ni yule tu anayekupenda kuliko unavyompenda wewe.

Usijiingize kwenye mahusiano kwenye hali hiyo utaishia kukonda kwa hali mbaya na stress za mwanamke.
Natamani angejua nampenda ila naona kama haamini hilo kutokana na hali yangu haiwezi kumpa kile anachotaka.
 
Napenda kutumia nafasi hii kuwashukuru wale wote ambao watashiriki kwa namna fulani ama nyingine kunisaidia ili niwe sawa kiakili na kimawazo nahisi huwenda nikiendelea hivi nitaingia kwenye matatizo hasa ya Kiafya.

Miaka ya nyuma kidogo nimekuwa ndani ya mahusiano na binti mmoja ambaye ametumia nafasi hiyo kuniumiza kila leo kwa kuniponda sana moyo wangu, Siwezi kumaliza wiki moja kabla sijaumizwa na makosa ambayo ninaona anafanya makusudi kwangu ili tu niumie na kila siku amekuwa mtu wa kushuhudia natokwa na machozi kwa ajili yake ila anatumia mwanya huo kuniponda kila leo, Nimejaribu kumweka sawa japo bado nipo kwenye utafutaji najua kesho na keshokutwa Mungu atanifungulia milango ya ajira ili niweze kuishi nae kama mke wangu ila pia hali yangu inachangia sana anione kama siwezi kupata ajira daima ila naamini katika Mungu yote yanawezakana.

Nimekuwa najitolea sehemu mbalimbali ila hata pale napopata kidogo najitahidi sana hata nusu apate yeye na nusu nipate mimi, ili tu ajue kwa namna gani ninahangaika kupata kazi ili baadae tuishi wote lakini juhudi zangu anaziona hazina maana kwake, Hivi karibuni nilipanga kwenda kumtembelea nilitamani sana ningepata walau chochote nipeleke kama zawadi lakini hali yangu ilikuwa mbaya sana na kushindwa kupata zawadi yoyote kwake, lakini aliniambia kama ungekuwa na pesa ningependa sana uniletee pete ya uchumba nikamwambia kama Mungu akipenda ajira nikapata basi yote yatawezekana kwa jina lake. Yote haya yanakuja kwa sababu baadhi ya marafiki zake wameolewa na wengine wamevishwa pete hivyo kwa hali yangu huwenda anaona kama ninamchelewesha sana, Ana tabia za kufuata na kutaka awe kama wao ila hali yangu haijakaa sawa mimi kuweza kumudu kile ambacho anakitaka.

Nimeshuhudia Sms kwenye simu yake akiwa anachat na wanaume na kuwaomba pesa kwakweli inaniuma sina la kufanya ila najua penzi langu halipo kwenye taswira nzuri hata kama ni uaminifu nimeanza kumshusha sana kutokana na yale ninayoyaona, najitahidi sana ila anaona juhudi zangu zote ni kupoteza muda. Kuna wakati inafikia hadi namdanganya kuwa mwezi ujao nitaajiriwa anafurahi wana na kuwa karibu namimi ila mwezi ukiisha ukaribu wake na mimi hupotea. Na sikupenda siku moja nipate ajira kisha niachane nae nahisi atanihisi vibaya na kuona kama nimemsaliti baada ya kupata ajira.

Usiku mwili wangu iligeuka kuwa tanuru la moto nimechomwa sana rohoni kwa sms nilizoona wakichat na Mtu nilikuwa naona kifo na macho ila najua ombi langu Mungu atalisikia, japo kazoea kila siku namwambia nitapata kazi ila najua muda si mrefu nitapata kazi hata kama ni kuzibua chemba ili tu nisije kudharaulika kwake.

Nahitaji sana faraja kwa kipindi hiki jamani hali yangu japo iko vibaya ila hili linanitia sana simanzi, nadharauliwa sana.

Mungu Simama nami.
Ukiona mwanaume mwaminifu sanaaa ujue hana hela, mapenzi ya siku hizi mwanaume lazima uwe na hela ndiyo kilainishi na kitendea kazi ktk mapenzi,kinafanya mapenzi yateremke tu bila ukakasi,achana na mapenzi kwanza tafuta hela kwanza, kuwa mwanaume sio kazi ya kitoto
 
unaona huwez muacha kwa kuwa ujashika pesa na kula papuchi uitakayo, tafuta pesa mkuu uone kama utakuwa na hamu nae.

now unajiona una mapenzi ya kweli kwa kuwa huna jeuri ya kuomba mtanange kwingine nani akupe papuchi ya mkopo.

Tafuta pesa atajileta mwenyewe na wenzake utachagua wewe.
 
Pole sana, hapo suluhi pekee achana nae Mungu anakuepusha na matatozo makubwa hapo. Mapenzi haya lazimishwi na usiwaze itakuaje mkiachana, utapata mwingine mwenye ubinadamu.
Siku zote bibadamu tunateska sana leo kwa kuogopa kuwa nikitoka hapa leo, kesho itakuwaje? Hili achana nalo, na ukiweza achana nae utakomaa sana kimapenzi na hujli umia.
I stand to be corrected
Nikiliweza hilo najua nitakuwa sawa milele
 
Huyu jamaa matatizo hayo ni kama anajitakia tu maana dalili kuwa mwanamke huyo hafai zi wazi kabisa. Halafu sijui vichwa vyetu vikoje mpaka MTU awaze kwamba kuajiriwa ni muhimu kiasi hiki.
 
Natamani angejua nampenda ila naona kama haamini hilo kutokana na hali yangu haiwezi kumpa kile anachotaka.
Hakuna mtu anayependa kuambiwa nakupenda huo upendo unatakiwa ujionyeshe wenyewe mzee.

"Eti nakupenda ila sina cha kukupa" huku anaona shoga zake wanapendeza wanatolewa out!

mzee utagongewa saana na atakudharau tu.

Wewe naona unajipa mizigo miwili wa kutafuta kazi na wa kumfikiria mtu mwingine.

Mwache tena mueleze mama sina kazi siwezi kukuhudumia na pia naona nakuchelewesha maisha wenzako wanaolewa naona nakupa wakati mgumu...hapo achague kusuka au kunyoa...
 
Sasa ukipata ajira mafunga hiyo ndoa na ikatokea bahati mbaya ukaipoteza hiyo ajira, hiyo ndoa itaendelea kuwepo kweli!. Waswahili husema dalili ya mvua ni mawingu. sometimes usiruhusu hisia zako zitawale akili yako.
Asante sana Jamaa ndiyo maana nimelisogeza hili kwenu najua msaada nitapata.
 
Ukiona mwanaume mwaminifu sanaaa ujue hana hela, mapenzi ya siku hizi mwanaume lazima uwe na hela ndiyo kilainishi na kitendea kazi ktk mapenzi,kinafanya mapenzi yateremke tu bila ukakasi,achana na mapenzi kwanza tafuta hela kwanza, kuwa mwanaume sio kazi ya kitoto
Kupata Mapenzi kwingineko naweza ila sina tabia hiyo katika mahusiano yangu, nikitaka ngono muda wowote ule napata tena isiyo ya kununua mkuu.
 
Kiukweli kwanza kabisa wewe ni bwege,tens bwege mtozeni.
Pili wewe hujitambui,
Tatu hujithamini,
Nne hujipendi na mwisho
Tano hujiheshimu.
sijawahi sikia mwanaume aise na akili timamu kama wewe. Endelea kulia kaka utatengeneza bahari yako ya machozi siku moja,kila la kheri.
 
unaona huwez muacha kwa kuwa ujashika pesa na kula papuchi uitakayo, tafuta pesa mkuu uone kama utakuwa na hamu nae.

now unajiona una mapenzi ya kweli kwa kuwa huna jeuri ya kuomba mtanange kwingine nani akupe papuchi ya mkopo.

Tafuta pesa atajileta mwenyewe na wenzake utachagua wewe.
Ngoja nisake kazi atakuja siku moja.
 
Napenda kutumia nafasi hii kuwashukuru wale wote ambao watashiriki kwa namna fulani ama nyingine kunisaidia ili niwe sawa kiakili na kimawazo nahisi huwenda nikiendelea hivi nitaingia kwenye matatizo hasa ya Kiafya.

Miaka ya nyuma kidogo nimekuwa ndani ya mahusiano na binti mmoja ambaye ametumia nafasi hiyo kuniumiza kila leo kwa kuniponda sana moyo wangu, Siwezi kumaliza wiki moja kabla sijaumizwa na makosa ambayo ninaona anafanya makusudi kwangu ili tu niumie na kila siku amekuwa mtu wa kushuhudia natokwa na machozi kwa ajili yake ila anatumia mwanya huo kuniponda kila leo, Nimejaribu kumweka sawa japo bado nipo kwenye utafutaji najua kesho na keshokutwa Mungu atanifungulia milango ya ajira ili niweze kuishi nae kama mke wangu ila pia hali yangu inachangia sana anione kama siwezi kupata ajira daima ila naamini katika Mungu yote yanawezakana.

Nimekuwa najitolea sehemu mbalimbali ila hata pale napopata kidogo najitahidi sana hata nusu apate yeye na nusu nipate mimi, ili tu ajue kwa namna gani ninahangaika kupata kazi ili baadae tuishi wote lakini juhudi zangu anaziona hazina maana kwake, Hivi karibuni nilipanga kwenda kumtembelea nilitamani sana ningepata walau chochote nipeleke kama zawadi lakini hali yangu ilikuwa mbaya sana na kushindwa kupata zawadi yoyote kwake, lakini aliniambia kama ungekuwa na pesa ningependa sana uniletee pete ya uchumba nikamwambia kama Mungu akipenda ajira nikapata basi yote yatawezekana kwa jina lake. Yote haya yanakuja kwa sababu baadhi ya marafiki zake wameolewa na wengine wamevishwa pete hivyo kwa hali yangu huwenda anaona kama ninamchelewesha sana, Ana tabia za kufuata na kutaka awe kama wao ila hali yangu haijakaa sawa mimi kuweza kumudu kile ambacho anakitaka.

Nimeshuhudia Sms kwenye simu yake akiwa anachat na wanaume na kuwaomba pesa kwakweli inaniuma sina la kufanya ila najua penzi langu halipo kwenye taswira nzuri hata kama ni uaminifu nimeanza kumshusha sana kutokana na yale ninayoyaona, najitahidi sana ila anaona juhudi zangu zote ni kupoteza muda. Kuna wakati inafikia hadi namdanganya kuwa mwezi ujao nitaajiriwa anafurahi wana na kuwa karibu namimi ila mwezi ukiisha ukaribu wake na mimi hupotea. Na sikupenda siku moja nipate ajira kisha niachane nae nahisi atanihisi vibaya na kuona kama nimemsaliti baada ya kupata ajira.

Usiku mwili wangu iligeuka kuwa tanuru la moto nimechomwa sana rohoni kwa sms nilizoona wakichat na Mtu nilikuwa naona kifo na macho ila najua ombi langu Mungu atalisikia, japo kazoea kila siku namwambia nitapata kazi ila najua muda si mrefu nitapata kazi hata kama ni kuzibua chemba ili tu nisije kudharaulika kwake.

Nahitaji sana faraja kwa kipindi hiki jamani hali yangu japo iko vibaya ila hili linanitia sana simanzi, nadharauliwa sana.

Mungu Simama nami.

Hebu nambie mda ambao uko online kama dakika 20 hivi uje pm nikusaidie namna yaku reduce vitu flan and accept the reality.
Usilete masihara lakini
 
acha kulia lia,mwanaume wewe au hujui kutongoza ndo maana umemganda huyo kahaba wako?....piga chini,hamia kwenye kutafuta maisha full time sio kuhangaika na huyo kiruka njia....mwanaume hajishushi to that level,na ipo siku atagongewa kitandani kwako huku amekuficha uvunguni kisa huna kazi.
 
Kiukweli kwanza kabisa wewe ni bwege,tens bwege mtozeni.
Pili wewe hujitambui,
Tatu hujithamini,
Nne hujipendi na mwisho
Tano hujiheshimu.
sijawahi sikia mwanaume aise na akili timamu kama wewe. Endelea kulia kaka utatengeneza bahari yako ya machozi siku moja,kila la kheri.
Asante
 
Huyp hakupendi anakupendea ajira ili muwe mnakula wote mshahar,,bora ukae single
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom