Asante mamy ila mbona kama diet yako iko vice versa..kwa nini nile matunda mchana na sio usiku?Ni lifestyle tu ndo unatakiwa kubadili mfano asubuhi kufanya zoezi hata 15mins mda unaamka, chai usiweke sukari kunywa na vitafunio ila sio ving sanaa kiasi tu hakikisha unashiba ,mchana kula matunda ya kutosha mpaka ushibe usile chakula thn usiku ukisikia njaa sana unaweza kula kidogo au kama huna njaa kunywa maziwa mgando ......
Trust m u must get that body every girl wish to ........
Mchana kunywa tu juisi ya ukwaju vikombe uwezavyo, kuanzia angalau 2 unashushia na bite 2 au tatu.Hivi jamani hakunaga diet simple kwa sie wenye kupunguza vitambi Maana diet nyingi utasikia asubuhi kunywa fresh juice ya appe sijui tikiti, mchana kula kuku au samaki,Jioni anataja vikorokoro akina sie hata hatuvijui.
Hivi jaman hakunaga diet ya sie wala matembele?
Asante mkuu ila kuna vyakula vimetajwa humo vingine hata sivijuiMilitary dietView attachment 696783
Asante barafuyamotoMchana kunywa tu juisi ya ukwaju vikombe uwezavyo, kuanzia angalau 2 unashushia na bite 2 au tatu.
Pia kimbia kimbia ukiweza.
Pamoja.Asante barafuyamoto
Eee kipindi kile hata sikuwa siriaz maana ndio nilikuwa nimetoka shule sasa nikaona mwili unakujakuja japo si sana nikataka niudhibiti ila sikutilia maanani sana sasa hivi ndio nimeamua nilipungue maana mmmhh...Pamoja.
Ila uzi wa kitambo, bado una kitambi?
Mama watoto diet special mm ninayo, ndsni ya mwezi mmoja mm nimepungua kilo 9.Hivi jamani hakunaga diet simple kwa sie wenye kupunguza vitambi Maana diet nyingi utasikia asubuhi kunywa fresh juice ya appe sijui tikiti, mchana kula kuku au samaki,Jioni anataja vikorokoro akina sie hata hatuvijui.
Hivi jaman hakunaga diet ya sie wala matembele?
Kwanza kabisa nafanya sana mazoezi, nakimbia 3km go and back kila Cku.....naogelea Dk 45 kila Cku!Hebu niambie hiyo diet jamani...
Maomba kujua, pork ni red meat au laa!Kwanza kabisa nafanya sana mazoezi, nakimbia 3km go and back kila Cku.....naogelea Dk 45 kila Cku!
Nimeacha kabisa kunywa pombe, nimeacha kutumia sukari kwny chai, nimeacha Kula red meat..
Nakula kitu chochote kwa sababu mwili unahitaji, sili kwa sababu napenda ladha ya kitu fulani....
Nakula Mara mbili kwa siku. (Kipindi hiki cha kwaresima nakula once in 24 hrs, Nikila saa 12 jioni hadi kesho tena mda km huo.
Hebu jaribu kufanya hayo ninayofanya mm utaona changes ndani ya mda mfupi sana
Ni white meat bossMaomba kujua, pork ni red meat au laa!
H
Safi sana baba watoto kumbe unafunga... Vitu ulivyotaja vinatekelezeka ila zoezi saaasa...Kwanza kabisa nafanya sana mazoezi, nakimbia 3km go and back kila Cku.....naogelea Dk 45 kila Cku!
Nimeacha kabisa kunywa pombe, nimeacha kutumia sukari kwny chai, nimeacha Kula red meat..
Nakula kitu chochote kwa sababu mwili unahitaji, sili kwa sababu napenda ladha ya kitu fulani....
Nakula Mara mbili kwa siku. (Kipindi hiki cha kwaresima nakula once in 24 hrs, Nikila saa 12 jioni hadi kesho tena mda km huo.
Hebu jaribu kufanya hayo ninayofanya mm utaona changes ndani ya mda mfupi sana
Yeah nafunga though kufunga duo lazima kuwaambia watu, but only because I want to help u reduce your body.Safi sana baba watoto kumbe unafunga... Vitu ulivyotaja vinatekelezeka ila zoezi saaasa...
Adui number moja wa wanawake kufanya wawe na matumbo ni pombe.Haya baba watoto nitajatibu hiyo diet yako
Pombe sinywi baby...ubwabwa tu huuAdui number moja wa wanawake kufanya wawe na matumbo ni pombe.
Km unakunywa fanya maamuzi magumu ya kuacha mama watoto.
Ila pia jaribu kuweka kitu chochote mdomoni kwa sababu mwili unahitaji na sio sababu ni Kitamu mdomoni.
Adui number moja wa wanawake kufanya wawe na matumbo ni pombe.
Km unakunywa fanya maamuzi magumu ya kuacha mama watoto.
Ila pia jaribu kuweka kitu chochote mdomoni kwa sababu mwili unahitaji na sio sababu ni Kitamu mdomoni.
Pombe sinywi baby...ubwabwa tu huu