Nahitaji business partners biashara ya dhahabu

Mar 14, 2023
26
108
Wakuu Habari,

Kama heading inavyosema, nahitaji watu wa kushirikiana nao katika utekelezaji biashara ya madini aina ya dhahabu.

Biashara hii nimeifanyia utafiti wa masoko hasa Dar es Salaam na pia sehemu ambapo naweza kupata dhahabu nzuri purity 99%.

Nahitaji partner wakushirikiana nae katika utekelezaji hasa kama ana uzoefu wa biashara hii ya dhahabu na pia katika ku-share mtaji.

Dhahabu tutaitoa katika migodi ya Tanga au Shinyanga, Tanga Kwa gram moja ni 125,000 tu na Kwa upande wa Shinyanga gramu ni 110,000 tu. Kwa hapa Dar last week sokoni bei ilikua inaenda hadi 146,000 so utaangalia kuna profit kiasi gani.

At least tutachukua gram 15 ili kuzuia hasara inayoweza kusababishwa na gharama za usafiri, sehemu ya kufikia katika maeneo yote Kwa Tanga na Shinyanga ipo
Karibuni wadau.
 
Inapendeza sana.

Wakuu Habari,

Kama heading inavyosema, nahitaji watu wa kushirikiana nao katika utekelezaji biashara ya madini aina ya dhahabu.

Biashara hii nimeifanyia utafiti wa masoko hasa Dar es Salaam na pia sehemu ambapo naweza kupata dhahabu nzuri purity 99%.

Nahitaji partner wakushirikiana nae katika utekelezaji hasa kama ana uzoefu wa biashara hii ya dhahabu na pia katika ku-share mtaji.

Dhahabu tutaitoa katika migodi ya Tanga au Shinyanga, Tanga Kwa gram moja ni 125,000 tu na Kwa upande wa Shinyanga gramu ni 110,000 tu. Kwa hapa Dar last week sokoni bei ilikua inaenda hadi 146,000 so utaangalia kuna profit kiasi gani.

At least tutachukua gram 15 ili kuzuia hasara inayoweza kusababishwa na gharama za usafiri, sehemu ya kufikia katika maeneo yote Kwa Tanga na Shinyanga ipo
Karibuni wadau.
Itakua ni vilio na kusaga MENO
 
Hongera sana kwa hili unaloliwaza, kwanza unatakiwa kutambua biashara ya dhahabu au madini sio kama nyanya au nafaka
Kwasababu
1. Unahitaji dealer license ya kukuwezesha kununua dhahabu na kusafirisha
Ambayo gharama ya leseni ni tsh 10M kwa mwaka
2. Unahitajika kuwa na ofisini kwenye masoko ya dhahabu nchini yaliyoanzishwa kulingana na mkoa utakao kuwa una deal nao
3. Kwa leseni hii itakuruhusu kufanya refining ya dhahabu yako kutoka tume ya madini
4. Kwa leseni ndogo ya uuzaji dhahabu yaani broker license utahitaji kununua dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo na kuuza kwa wenye broker license
Gharama ya leseni hii ni 250k kwa mwaka pia lazima uwe na ofisi kwenye masoko yaliyotengwa kulingana na sehemu uliyopo

Hivyo kwa kifupi unahitaji kujipanga zaidi, kufuatilia ili usiibiwe
By the way bei mara nyingi masoko mengi ndani ya nchi haitofautiani sana ila bei inatofautiana kama utanunua either
Dhahabu mbichi
Dhahabu ya smelting
Dhahabu baada ya refining
 
Gram=110,00p, unaanza kununua 15gms. Biashara ya madini haiwezi kiwa rahisi kiasi hiki
 
Bora niendelee kufanya biashara ya nafaka tu kuliko hayo mavitu yaani mtaji wa 125000 nipate faida ya elfu 21? Na kupigwa kupo nje nje tu
 
Wakuu Habari,

Kama heading inavyosema, nahitaji watu wa kushirikiana nao katika utekelezaji biashara ya madini aina ya dhahabu.

Biashara hii nimeifanyia utafiti wa masoko hasa Dar es Salaam na pia sehemu ambapo naweza kupata dhahabu nzuri purity 99%.

Nahitaji partner wakushirikiana nae katika utekelezaji hasa kama ana uzoefu wa biashara hii ya dhahabu na pia katika ku-share mtaji.

Dhahabu tutaitoa katika migodi ya Tanga au Shinyanga, Tanga Kwa gram moja ni 125,000 tu na Kwa upande wa Shinyanga gramu ni 110,000 tu. Kwa hapa Dar last week sokoni bei ilikua inaenda hadi 146,000 so utaangalia kuna profit kiasi gani.

At least tutachukua gram 15 ili kuzuia hasara inayoweza kusababishwa na gharama za usafiri, sehemu ya kufikia katika maeneo yote Kwa Tanga na Shinyanga ipo
Karibuni wadau.

Achana na wazo hilo.

Njoo hapa kakola au mwime nikupe muongozo wa namna ya kupata million 60 kwa miezi 8-12 kwa mtaji wa million 10 tu.

Sihitaji hata mia mbovu yako.
Inahitaji mtu ambaye yuko tyr kujitoa kusimamia miradi yake mwenyew nakuonyesha eneo na taratibu zote.Unapambana mwenyew
 
Hongera sana kwa hili unaloliwaza, kwanza unatakiwa kutambua biashara ya dhahabu au madini sio kama nyanya au nafaka
Kwasababu
1. Unahitaji dealer license ya kukuwezesha kununua dhahabu na kusafirisha
Ambayo gharama ya leseni ni tsh 10M kwa mwaka
2. Unahitajika kuwa na ofisini kwenye masoko ya dhahabu nchini yaliyoanzishwa kulingana na mkoa utakao kuwa una deal nao
3. Kwa leseni hii itakuruhusu kufanya refining ya dhahabu yako kutoka tume ya madini
4. Kwa leseni ndogo ya uuzaji dhahabu yaani broker license utahitaji kununua dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo na kuuza kwa wenye broker license
Gharama ya leseni hii ni 250k kwa mwaka pia lazima uwe na ofisi kwenye masoko yaliyotengwa kulingana na sehemu uliyopo

Hivyo kwa kifupi unahitaji kujipanga zaidi, kufuatilia ili usiibiwe
By the way bei mara nyingi masoko mengi ndani ya nchi haitofautiani sana ila bei inatofautiana kama utanunua either
Dhahabu mbichi
Dhahabu ya smelting
Dhahabu baada ya refining
Umeshusha sana nondo, mkuu personally nimekubali sana ulichoandika....mm binafsi nakuomba ujoin sisi tunahitaji uwezo wako tu kama upo experiencd sana, tuta-compansate unachoshauri na kinachopatikana
 
Achana na wazo hilo.

Njoo hapa kakola au mwime nikupe muongozo wa namna ya kupata million 60 kwa miezi 8-12 kwa mtaji wa million 10 tu.

Sihitaji hata mia mbovu yako.
Inahitaji mtu ambaye yuko tyr kujitoa kusimamia miradi yake mwenyew nakuonyesha eneo na taratibu zote.Unapambana mwenyew
Ndio wapi uko?
 
Umeshusha sana nondo, mkuu personally nimekubali sana ulichoandika....mm binafsi nakuomba ujoin sisi tunahitaji uwezo wako tu kama upo experiencd sana, tuta-compansate unachoshauri na kinachopatikana
Shukran sana ndugu katika hili ila naomba nisikukubalie kwa sasa kutokana na majukumu yangu binafsi ambayo yananifanya nisiweze kukupa ushirikiano timilifu. Ila muhimu pata muda zaidi ya kwenda kuijua biashara ya madini unayotaka kuifanya na eneo lipi litakufaa hii ndio itakuwa bora zaidi
 
Back
Top Bottom