MrProsecutor
JF-Expert Member
- Jun 12, 2017
- 281
- 274
Ciao famiglia, come stai?
Leo tuongelee kidogo kuhusu business diversification. Ulimwengu wa sasa katika ushindani wa biashara, diversification ni key mojawapo ya kukufanya uendelee kukua zaidi na kuwa imara sokoni. Diversification ni pamoja na kuongeza wigo wa biashara kwa kuIntroduce bidhaa mpya, kuexplore fresh market ama kuexpand georgraphical.
Diversification haipunguzi tu hasara kwa maana ukiInvest sehemu tofauti tofauti sio rahisi kupata hasara sehemu zote, yani huwezi kuwa na biashara tatu af zote zikawa znakupa hasara tu, inawezekana pia if haujafanya diversification kwa kutumia akili. Faida nyingine ni kuongeza mapato/vyanzo vipya vya hela. So now tuangalie vitu viwili muhimu kabisa katika diversification,.
1. AINA YA DIVERSIFICATION
Kuna aina nyingi lakini ntaongelea tatu tu ambazo ni product diversification (kuongeza bidhaa mpya au huduma mpya katika biashara uliyonayo, mfn kama unauza ubuyu tu ukaanza kutengeneza na juice ya ubuyu etc.), Market diversification (hapa ni kuingia katika soko jipya mfn umezoea kuuza vinywaji baridi ukaamua sasa kuingia soko jipya uanze kuuza nguo), Geographic diversification (Biashara yako iko Dar tu sas unaamua kufungua branches nje ya dar ama nje ya nchi, kimsingi ni kwenda zaidi ya eneo ulilopo kibiashara ukifanya biashara ile ile)
2. CHALLENGES & SUCCESS
Hii ni sehemu muhimu zaidi ambayo wetu wengi huisahau wanapofanya diversifications kwenye biashara. Diver.. ina challenges na risk zake muhim sana kuzingatia. Fanya research ya kutosha na uandae strategies nzuri ambazo utaingilia sokoni, jifunze kwenye biashara za watu wengine jinsi walivyofanya mpaka wakafanikiwa kudiversify vizuri na wakafanikiwa. Mfn Bakhresa Group ilianza na vyakula lakini wako na Usafiri, wako na fintech, wako na media etc..
MUHIMU KABLA SIJAMALIZA
Hakikisha biashara unayofanya imekuwa stable sana kias kwamba unapata faida nzuri na hata ikitokea unaanzisha biashara mpya kwa kutumia faida hiyo haitaathiri chochote ili kuepuka kufunga biashara zote.
Thanks & nice weekend fam.
Leo tuongelee kidogo kuhusu business diversification. Ulimwengu wa sasa katika ushindani wa biashara, diversification ni key mojawapo ya kukufanya uendelee kukua zaidi na kuwa imara sokoni. Diversification ni pamoja na kuongeza wigo wa biashara kwa kuIntroduce bidhaa mpya, kuexplore fresh market ama kuexpand georgraphical.
Diversification haipunguzi tu hasara kwa maana ukiInvest sehemu tofauti tofauti sio rahisi kupata hasara sehemu zote, yani huwezi kuwa na biashara tatu af zote zikawa znakupa hasara tu, inawezekana pia if haujafanya diversification kwa kutumia akili. Faida nyingine ni kuongeza mapato/vyanzo vipya vya hela. So now tuangalie vitu viwili muhimu kabisa katika diversification,.
1. AINA YA DIVERSIFICATION
Kuna aina nyingi lakini ntaongelea tatu tu ambazo ni product diversification (kuongeza bidhaa mpya au huduma mpya katika biashara uliyonayo, mfn kama unauza ubuyu tu ukaanza kutengeneza na juice ya ubuyu etc.), Market diversification (hapa ni kuingia katika soko jipya mfn umezoea kuuza vinywaji baridi ukaamua sasa kuingia soko jipya uanze kuuza nguo), Geographic diversification (Biashara yako iko Dar tu sas unaamua kufungua branches nje ya dar ama nje ya nchi, kimsingi ni kwenda zaidi ya eneo ulilopo kibiashara ukifanya biashara ile ile)
2. CHALLENGES & SUCCESS
Hii ni sehemu muhimu zaidi ambayo wetu wengi huisahau wanapofanya diversifications kwenye biashara. Diver.. ina challenges na risk zake muhim sana kuzingatia. Fanya research ya kutosha na uandae strategies nzuri ambazo utaingilia sokoni, jifunze kwenye biashara za watu wengine jinsi walivyofanya mpaka wakafanikiwa kudiversify vizuri na wakafanikiwa. Mfn Bakhresa Group ilianza na vyakula lakini wako na Usafiri, wako na fintech, wako na media etc..
MUHIMU KABLA SIJAMALIZA
Hakikisha biashara unayofanya imekuwa stable sana kias kwamba unapata faida nzuri na hata ikitokea unaanzisha biashara mpya kwa kutumia faida hiyo haitaathiri chochote ili kuepuka kufunga biashara zote.
Thanks & nice weekend fam.