rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,713
Sawa....mtoto mwenye sauti nzuri
mmmh?! sauti yangu imeisikia wapi?
Sawa....mtoto mwenye sauti nzuri
mmmh?! sauti yangu imeisikia wapi?
Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice
MUngu ana makusudi yake Destinylady mpenzi wako wa kweli yu njiani anakuja
Wala usilie mama tupo wengi tyuu....
Yaani mtu ajiachie hovyo hovyo kwa wanaume halafu mseme "Mungu ana makusudi yake...." mungu gani huyo mnaemsema....!? Acheni hizo tulizeni hivyo vipochi manyoya vyenu muone kama hamjapata watu wenye busara zao. Tatizo mnajidanganya kumu-win mwanaume ni kumvulia chupi, wengine hatuko hivyo, ukinivulia kirahisi rahisi thamani yako inashuka, na kama nilikuwa na malengi flani, nayafuta. By the way, kwani usipofanya hayo mambo unakufa......!?
We ni mrembo?mimi ndio suluhisho la matatizo yako ya kimapenzi
mzee umetisha, huu ushauri ni mzuriHapa kusema tatizo lako ni kitu fulani na tukupe ushauri SI RAHISI kama unavodhani. Maana ni ishu ya mwenendo,muonekano wako wa nje na ndani hivyo kwa ushauri labda waone watu wa JIRANI na mazingira yako wanaokufahamu na Unaowaamini na si jf
Inawezekana una tabia za kumfurahisha kila mtu
ili uonekane huna makuu
watu wengi hawapendi 'watu ambao ni pleaser kupita kiasi'
ni dalili za unafiki na dalili za kutokuwa na msimamo na umalaya pia.....
Jifunze to be your self...watu watakupenda na mume utapata
Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice
Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice
Kujua watu wengine wana kutizama vipi kunaweza kusaidia kupata jibu la swali lako. Ni vigumu sana kwa mtu hasiyekufahamu vizuri kukupa jibu sahihi la tatizo lako.Njia bora zaidi ya kupata majibu ya swali lako ni kushughurikia mapungufu au malalamiko yaliyosababisha mahusiano yako yaliyopita kuvunjika. Siamini kuwa mahusiano yanavunjika tu ghafla bila hata kuelezana sababu au bila kuwa na ugomvi au malalamiko kabla ya kuvunjika.Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice
Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice
habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice