Papupi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,029
- 3,245
Nauza sumu ya panya,mende,viroboto,kunguni,dawa ya mba na mapunye.....
Vipi dawa ya mbu nitapata?
Nauza sumu ya panya,mende,viroboto,kunguni,dawa ya mba na mapunye.....
Vipi dawa ya mbu nitapata?
Pole my dear ... Naomba usifikirie hivyo labda uliokuwa nao before hawakuwa wako .. Subiri wako yuko njiani usiwe na haraka. Muda alioupanga aliye juu mbinguni ukifika hutajuta wala kuhisi hivyo unavyohisi.. pole sana mummy.. I feel your pain. . Jitahidi kutojiweka mpweke okay .. Thanks..
Sio kama mara zote wewe ndo unakuwa na tatizo. Most of the time, good girls end up with bad boys, and good boys chase after bad girls. Usiogope, ipo siku yatakwisha tu
Ndo ujuweeee!
Asante sana..hii ni taarifa nzuri saana
ipeleke udaku maana sikuhizi wameishiwa news upepo wote uko siasani
Hapani, nataka iwe siri...
Huez mwaga mchele kwenye kuku wengi
sawa ipeleke sirini.
Wengine huwa mnadhani kwamba..Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice