Nahisi sina bahati

Nahisi sina bahati

Labda unapenda usipopendwa .............. Penda unapopendwa hiyo ndio siri ya kudumu katika mahusiano yoyote

Kupenda unapopendwa napo ni shughuli!! Unajikuta unahangaikaaaa na yule asokupenda maana wewe ndio umependa, kule unakopendwa hata ukijilazimisha inashindikana, duuuh haya mapenzi acheni tu!
 
Mara nyingine nawahurumia viumbe wa kike. I feel your sorrows asee. Unapofikia wakati mtu yupo desperate kuolewa, hakika utamhurumia, lakini pia wanaume wengi wakiona mtu yupo desperate nao huamua kumtumia na kumuacha. Poor ladies!
 
Kama ulitembea na mume wa mtu makusudi..hayo ndo malipo yake
 
Wala usilie mama tupo wengi tyuu....

we dada hilo jina lako na hiyo picha yako vinaniacha hoi, yani nimetokea kukupenda siku nyiingi, leo yamenifika hapaa, nimeamua nifunguke
 
Yaani mtu ajiachie hovyo hovyo kwa wanaume halafu mseme "Mungu ana makusudi yake...." mungu gani huyo mnaemsema....!? Acheni hizo tulizeni hivyo vipochi manyoya vyenu muone kama hamjapata watu wenye busara zao. Tatizo mnajidanganya kumu-win mwanaume ni kumvulia chupi, wengine hatuko hivyo, ukinivulia kirahisi rahisi thamani yako inashuka, na kama nilikuwa na malengi flani, nayafuta. By the way, kwani usipofanya hayo mambo unakufa......!?

Umeongea point mheshimiwa
 
Umeongea point mheshimiwa

Ila wanaume bhana,why taking all the blame to women?!ndo mana huwa mnakatwa hivyo vibamia vyenu,mnawatumia watoto wa watu,mkitosheka mnawaacha mnawaita Malaya while wenzenu walifanya kwa upendo wala sio starehe Kama mnavyowachukulia,Kama huna malengo na mtu mwache apite usimsemeshe,just assume it's your dauta/sister being played that way would you be happy?! Sasa malipo ni hpahpa duniani Kama usipolipa wewe tambua hata kizazi chako cha 4&5 kitakulipia(kitaumizwa pia)

Na mnavyochezea wanawake mkae mkijua na wake zenu watarajiwa wanachezewa hvyo hvyo,so mkioa mjue mnaoa Malaya pia. Mashimba1,metenyeki
 
Last edited by a moderator:
Unaonekana unabusara sana, siku ukimpata shemeji yangu niunganishe nae nimjaze imani na mazuri yako

Kumbe na wewe umegundua hilo mkuu, mi nilishamgundua zamani tu, ni kweli ni binti mtulivu, anajitambua, ana heshima na busara si uongo mkuu, sema ni haya mambo tu ya fake IDs lakini anaonekana ni wife material
Ni vile tu nimeishaoa, otherwise ningekomaa naye tuonane nijiridhishe na physical appearance then naweka kitu ndani bila kusita.

Mkuu changamkia tenda kama wewe bado hujaoa

CC Heaven Sent
 
Last edited by a moderator:
Yaani jamani hilo tatizo inapaswa kumwomba Mungu akupe aliye mpango wake
 
Kumbe na wewe umegundua hilo mkuu, mi nilishamgundua zamani tu, ni kweli ni binti mtulivu, anajitambua, ana heshima na busara si uongo mkuu, sema ni haya mambo tu ya fake IDs lakini anaonekana ni wife material
Ni vile tu nimeishaoa, otherwise ningekomaa naye tuonane nijiridhishe na physical appearance then naweka kitu ndani bila kusita.

Mkuu changamkia tenda kama wewe bado hujaoa

CC Heaven Sent

mito, kama upo single na unahitaji mtu, I'd recommend this lady. Wengine huo mlango tulishafunga kwa hiyo tunawaonyesha wenzetu ambao bado kuingia huko.
 
Last edited by a moderator:
Kupenda unapopendwa napo ni shughuli!! Unajikuta unahangaikaaaa na yule asokupenda maana wewe ndio umependa, kule unakopendwa hata ukijilazimisha inashindikana, duuuh haya mapenzi acheni tu!

Ndo maana mi huwa nawashauri wadada awe na yule ambaye anampenda kiasi tu halafu jamaa awe amekufa kaoza ndo mtadumu hadi ndoa. With time kutegemea na anavyokutreat utakolea tu na wewe. Hii ndo sababu mama zetu walikuwa wanachagulia wanaume na ndoa zao zilidumu balaa.
Shida yenu nyie wa dotcom mnataka mlikopenda hasa, sasa unakuta jamaa yeye anakupenda kiduchu tu so kukuacha ni fasta tu
 
Mara nyingine nawahurumia viumbe wa kike. I feel your sorrows asee. Unapofikia wakati mtu yupo desperate kuolewa, hakika utamhurumia, lakini pia wanaume wengi wakiona mtu yupo desperate nao huamua kumtumia na kumuacha. Poor ladies!

Mkuu una mtazamo kama wangu. Kwa kweli mi hii ni mojawapo ya sababu ilinifanya niachane na tabia ya kuwa na msululu wa wadada, nilikuwa nawaonea huruma sana hadi najifeel guilty kumlala wakati najua napita tu. Nikaamua kutulizana kabisaaaa!!!
 
Ila wanaume bhana,why taking all the blame to women?!ndo mana huwa mnakatwa hivyo vibamia vyenu,mnawatumia watoto wa watu,mkitosheka mnawaacha mnawaita Malaya while wenzenu walifanya kwa upendo wala sio starehe Kama mnavyowachukulia,Kama huna malengo na mtu mwache apite usimsemeshe,just assume it's your dauta/sister being played that way would you be happy?! Sasa malipo ni hpahpa duniani Kama usipolipa wewe tambua hata kizazi chako cha 4&5 kitakulipia(kitaumizwa pia)

Na mnavyochezea wanawake mkae mkijua na wake zenu watarajiwa wanachezewa hvyo hvyo,so mkioa mjue mnaoa Malaya pia. Mashimba1,metenyeki


My prado, the best option here is to abstain from sex. Kuvua vua ovyo kunawapunguzia credibility, sio kila mwanaume anapenda kupewa tamu from the very first time he approaches you. Jitunze, jipende, jilinde and more importantly fuata njia sahihi za urafiki hadi uchumba na hatimaye ndoa..
 
Last edited by a moderator:
Kumbe na wewe umegundua hilo mkuu, mi nilishamgundua zamani tu, ni kweli ni binti mtulivu, anajitambua, ana heshima na busara si uongo mkuu, sema ni haya mambo tu ya fake IDs lakini anaonekana ni wife material
Ni vile tu nimeishaoa, otherwise ningekomaa naye tuonane nijiridhishe na physical appearance then naweka kitu ndani bila kusita.

Mkuu changamkia tenda kama wewe bado hujaoa

CC Heaven Sent

I'm short of words aisee. Hujui tu nilivyojisikia,.. It means a lot to me. Thank you so much, u have honored me.

N:B kumbe physical appearance inahusika sana kwako Hahaha
 
Last edited by a moderator:
mito, kama upo single na unahitaji mtu, I'd recommend this lady. Wengine huo mlango tulishafunga kwa hiyo tunawaonyesha wenzetu ambao bado kuingia huko.

Hahaha Eli79 Ahsante kwa hii promo, ila sina uhakika kama umeilipia. Usije ukafanya watu waanze kunitafuta bure mie afu wakute yaliyomo simo, waje kunitangaza humu, ntahama nchi teh teh teh... just kidding. Thanks much
 
Last edited by a moderator:
Hahaha Eli79 Ahsante kwa hii promo, ila sina uhakika kama umeilipia. Usije ukafanya watu waanze kunitafuta bure mie afu wakute yaliyomo simo, waje kunitangaza humu, ntahama nchi teh teh teh... just kidding. Thanks much
my pleasure Heaven Sent, nina uhakika yaliyomo yamo...
hata kama hayamo, you have what it takes to be someone's wife. Nina uhakika PM yako iko busy sana.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu una mtazamo kama wangu. Kwa kweli mi hii ni mojawapo ya sababu ilinifanya niachane na tabia ya kuwa na msululu wa wadada, nilikuwa nawaonea huruma sana hadi najifeel guilty kumlala wakati najua napita tu. Nikaamua kutulizana kabisaaaa!!!
Na wanaume wengi unakuta wako after sexual tu wakiwa na haja zao wana act utakatifu. Bora wanaume ka hawana future na mtu waseme wanajichumia milaana ya ajabu tu bure.
Na imagine huyu dada atakua Ali fall asilimia zote kumbe ze guy alikua anamtumia tu. Na wanaume wengi hawajui kuwa mambo yao mengi hayafanikiwi kimaisha simply kwa kuchezea wanawake.
In my life nilishaapa kutokupenda labda mwanaume ndo awe ananipenda basi.
 
Ukiwa too nice lady especially ikaonesha dalili za kupretend zaidi ni shida pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom