vungwe
Senior Member
- Nov 2, 2013
- 162
- 237
Yani mamy nadhani mapenzi ni zaidi ya urembo na ucheshi kama mimi hta mtu anisifie vipi kuwa mimi ni mzuri huwa sifanyi mjumuisho mana inawezekana hao wanaokusifia mbele ya macho yao ni mzuri lakini wengine wanakuona wa kawaida anyway kuwa kwenye mapenzi thabiti yanahitaji zaidi ya urembo na ucheshi na mwisho wala usijali bado hujakutana na mtu sahihi kwako