Nahisi sina bahati

Nahisi sina bahati

Labda unakauli za kibabe na kulazimishana. Au una dharau na kejeli zisizo na msingi. Au si msikilizaji mzuri bali ni muongeaji hodari. Au labda pia unapiga kelele sana unapofanya hayo mapenzi.
 
Na wanaume wengi unakuta wako after sexual tu wakiwa na haja zao wana act utakatifu. Bora wanaume ka hawana future na mtu waseme wanajichumia milaana ya ajabu tu bure.
Na imagine huyu dada atakua Ali fall asilimia zote kumbe ze guy alikua anamtumia tu. Na wanaume wengi hawajui kuwa mambo yao mengi hayafanikiwi kimaisha simply kwa kuchezea wanawake.
In my life nilishaapa kutokupenda labda mwanaume ndo awe ananipenda basi.

utakubali ukiambiwa??!

https://www.youtube.com/watch?v=5VhEzsYPYhY
 
embu nitafute nipo serious tujue tana anzia wapi 0752312220 ata mm ndo ivo ivo shost
 
Habarini wandugu.

Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu.

Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali. Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo?

Its serious problem i need help of advice

Ukipata mpya usiongelee mahusiano yaliyopita ikiwezekana useme SIJAWAHI,
 
Pole kipenz wanaume ndivo walivo vumilia utapata chaguo lako, maana nikikusimulia unaweza lia na uckae ukapenda teeena mwanaume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom