Nahisi sina bahati

Nahisi sina bahati

mmh sifa zote izo bdo unakimbiwa? labda tatzo itakuwa kwenye papuchi, mana zngne zna sura kama...
 
Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice

Ni pm tuongee, ila sio utani
 
Usitafute mchawi, u ar dating the wrong person ndo maana

Umemaliza Kila kitu. Ukiwa na the wrong person hata ufanye kizuri kipi, atakiona ila ataondoka tu. Mind you sio Kwamba he is a bad guy ndo maana amempotezea, ni kwa sababu pia she is not the right person for him. So wataachana tu as long as Kila mmoja wao sio mtu sahihi kwa mwenzie
 
Umemaliza Kila kitu. Ukiwa na the wrong person hata ufanye kizuri kipi, atakiona ila ataondoka tu. Mind you sio Kwamba he is a bad guy ndo maana amempotezea, ni kwa sababu pia she is not the right person for him. So wataachana tu as long as Kila mmoja wao sio mtu sahihi kwa mwenzie

Unaonekana unabusara sana, siku ukimpata shemeji yangu niunganishe nae nimjaze imani na mazuri yako
 
naamini kuna zaidi ya hiki ulichokieleza hapa ili kuweza kukupa ushauri utakaokufaa na kukuwezesha kuwa na mbinu za kuishi na mpenzi hatimaye ndoa yenye furaha.niPM nikusaidie kwa hilo
 
na harufu yako ya mwili ya asili iko poa tu??! manake kuna wengine asipojipulizia madude yenu yale anakua na changamoto ya harufu kama beberu ama m.avi ya kuku flani sasa hii hua inazuia mtu kuwekeza maisha yake kwako kiukwel hata uwe mzur vipi
 
Unaonekana unabusara sana, siku ukimpata shemeji yangu niunganishe nae nimjaze imani na mazuri yako

Amen, tuombe hivyo. Kama busara Zipo ataziona tu hata pasipo kusimuliwa na mtu, matendo yanatosha. Ila nashukuru sana
 
Cha msingi angalia who you are dating with, boys wengine hatuna hata direction ya maisha wajanja wa mjini tutawaacha solemba..
 
  • Thanks
Reactions: DLS
na harufu yako ya mwili ya asili iko poa tu??! manake kuna wengine asipojipulizia madude yenu yale anakua na changamoto ya harufu kama beberu ama m.avi ya kuku flani sasa hii hua inazuia mtu kuwekeza maisha yake kwako kiukwel hata uwe mzur vipi

Mh huu ni ushauri au kejeri? kama ana hali hiyo afanyeje? ww sijui umetoka wapi au ni >20?
 
Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice

jichunguza tabia yako huenda zikawa zinakera usijue ucheshi sio kigezo uzuri sio tija unaweza ukawa na uzur wa kutamaniwa ili mtu apige mambo yake asepe na kuyajua hayo mapenz wapo wajuz zaid yako change your life staly
Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice

jichunguza tabia yako huenda zikawa zinakera usijue ucheshi sio kigezo uzuri sio tija unaweza ukawa na uzur wa kutamaniwa ili mtu apige mambo yake asepe na kuyajua hayo mapenz wapo wa zaid yako change your life
Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice

jichunguza tabia yako huenda zikawa zinakera usijue ucheshi sio kigezo uzuri sio tija unaweza ukawa na uzur wa kutamaniwa ili mtu apige mambo yake asepe na kuyajua hayo mapenz wapo wajuz zaid yako change your life
Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice

jichunguza tabia yako huenda zikawa zinakera usijue ucheshi sio kigezo uzuri sio tija unaweza ukawa na uzur wa kutamaniwa ili mtu apige mambo yake asepe na kuyajua hayo mapenz wapo wajuz zaid yako change your life na uonekane wa toufati na wengine
 
Mh huu ni ushauri au kejeri? kama ana hali hiyo afanyeje? ww sijui umetoka wapi au ni >20?

samahani kama ulinielewa vibaya,, nilimaanisha tu kuwa na umbo zuri na kuyaweza kitandani isn't alwayz enough kwasababu binafsi nishawahi kuwa na mschana wa mtindo huo mzuri na anajua sana ila alikua na changamoto ya harufu,, nilijarib sana kumpatia zile nanii za kwapa,, perfume, deodorant sabuni za kunukia mpk tulijaribu na airfreshner za ndan zote zikagonga mwamba mwshoni ilibid tu nijiweke pembeni,,, samahani tena kama umenielewa tofaut
 
Nauza sumu ya panya,mende,viroboto,kunguni,dawa ya mba na mapunye.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom