...nahisi nina tabia za kike!

Biashara ni matangazo na siyo mpaka muuzaji aje mlangoni kwako, anaweza kukutangazia hata dirishani....

Dirisha lisiwe lakioo hutamsikia tangazo lake,coz mtu walu walu huambiwi utamwona matendo yake..
 

Ahsante sana kwa ushauri Mzuri.
 

Ile kitu je! inafunction!!.
 
Ntafute nkutoe bikraa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 

Je unapenda ni jinsia gani ke au me akufanyie hayo mambo..? Kama ke hakuna tatizo kama mme.. kuna tatizo
 
Ntafute nkutoe bikraa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Alafu utafaidika na nini? na nanikakuambia sahivi watu wanashindana kutoa bikraa watu wanashindana kupishana kwenye milango ya benki,mimi nipo serious.
 
Alafu utafaidika na nini? na nanikakuambia sahivi watu wanashindana kutoa bikraa watu wanashindana kupishana kwenye milango ya benki,mimi nipo serious.

Nilikuuliza haya maswali huko juu, naona umeyasusia:

1) Wewe ni mwanamke au mwanamme?

5) Mpenzi wako ni wa kike au wa kiume?
 
Nilikuuliza haya maswali huko juu, naona umeyasusia:

ha ha ha..,"nahisi natabia zakike!"kichwa cha habari kinajitosheleza kujua mimi ni wakike au wakiume.
 
Huyu jamaa ni punga,bado kusema tu una hamu ya kuzibuliwa mtaro,eti unasema'bado sheria haijapitishwa!' looh! Nahisi ulegevu wa sauti na vidole juu,mkuu nenda jukwaa la matangazo
 
Gangamala!!! .... utakuwa mkuu wa kaya kwa mila zetu watanzania wengi. Mwachie dada adeke na kupenda kusifiwa umbo lake, wewe sifiwa kwa hela ulizonazo na jinsi unavyoikimu familia au mpenzi wako. Gangamaa ndugu yangu, kama huna ubavu nunua kimondo.
 
Huyu jamaa ni punga,bado kusema tu una hamu ya kuzibuliwa mtaro,eti unasema'bado sheria haijapitishwa!' looh! Nahisi ulegevu wa sauti na vidole juu,mkuu nenda jukwaa la matangazo

wewe ni wapili kusemaneno"punga"punga tree,punga tails..,au sija waelewa..
 
jamani hivi ndivyo mtu ana'come out'???:eek2:
 
ha ha ha..,"nahisi natabia zakike!"kichwa cha habari kinajitosheleza kujua mimi ni wakike au wakiume.

Nachukulia wa kiume lakini bado hujajibu swali lingine.
 
Ivi Hujawah kutamani Kutoambwa ??? Ndugu yangu vumilia tu sheria yenu itapitishwa then utakuwa huru kutoa iyo kitu.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…