Nahisi nina gundu la mapenzi kabisa

Nahisi nina gundu la mapenzi kabisa

Aah hamna kukata tamaa hadi upate mkuu, pambana kukataliwa ni sehemu ya safari kufikia mafanikio mkuu
Kuna kukatalia ile ambayo tunajua tu ni kawaida....ila hii yangu ni too much...hadi kuna muda sasa unaona ni kama huna thaman...kwa kwel nmeamin uchawi upo
 
Kuna kukatalia ile ambayo tunajua tu ni kawaida....ila hii yangu ni too much...hadi kuna muda sasa unaona ni kama huna thaman...kwa kwel nmeamin uchawi upo
Hamna uchawi bana, tulia utapata ukishindwa kabisa niambie nije mwenyewe sasa😂
 
Yani sasa hivi nina miezi 7 sina mchumba, kila ninayemtongoza lazima asumbue, na huwa sipendi kusumbuliwa au kumbembeleza sana. Naishi maisha ya kununua tu za barabarani.

Naombeni "Connexion" za waganga naona kabisa kwa hatua ambayo nimefikia nahisi nitakuwa nimetupiwa jini mimi kabisa, siyo bure!
Majangaaaa
 
Achana na mapenzi fanya ishu zingine mkuu.Kama upo mjini nakushauri urudi kijijini ukalime alizeti huko.Mapenzi waachie akina DeepPond , mzabzab na wengineo.
 
Yani sasa hivi nina miezi 7 sina mchumba, kila ninayemtongoza lazima asumbue, na huwa sipendi kusumbuliwa au kumbembeleza sana. Naishi maisha ya kununua tu za barabarani.

Naombeni "Connexion" za waganga naona kabisa kwa hatua ambayo nimefikia nahisi nitakuwa nimetupiwa jini mimi kabisa, siyo bure!
Nashauri uendelee kufanya manunuzi tu unataka wale wakale wapi sasa ebooo?
 
Huna tofaut na mimi mkuu...nipo kweny hatua za mwsho ...nitaenda kwa mtaalamu..nahc kuna mwanamke kanirushia pepo la kukataliwa maana hata kazi zile za kawaida zinanitolea nje...kweny appearanc sina shaka kweny hilo due pamba nabadili daily na wala sina ile sura pasono..hili wala sihitaj ushauri..nahitaj tu mganga konki...period
Mkuu unakaza kabisa et hili wala utaki ushauri[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kuna sister mmoja Yuko Mwanza... Yuko very talented kwenye utabibu wa magundu, majini na mikosi.

Amenisaidia hata Mimi na nilimuamini sababu alikuwa mwanamke na kila mtu hata mtaani anamuamini so yes I Gambled and it worked, Sasa hivi wanawake Mimi ndio nawakimbia.

Anaishi Mwanza maeneo ya Kishiri. Namba yake DM.

Kwa ishu za jini yaani ni siku moja tu! Utapona niamini mimi. I've been there, done that.
Sema mkuu unabania namba.zake hadi nishaona kama ni utapeli
 
Mkosi lazima uwe nao kama unanunua malaya daily yale majitu lazima yakuachie gundu na mikosi ya ajabu kifupi achana nao kabisa sali sana tafuta manzi jipe mda mkazie lazima ataelewa tu hawa viumbe wapo kwa ajiri yetu mkuu ni wewe tu uwe na mikakati nao ujilie mbususu
 
Yani sasa hivi nina miezi 7 sina mchumba, kila ninayemtongoza lazima asumbue, na huwa sipendi kusumbuliwa au kumbembeleza sana. Naishi maisha ya kununua tu za barabarani.

Naombeni "Connexion" za waganga naona kabisa kwa hatua ambayo nimefikia nahisi nitakuwa nimetupiwa jini mimi kabisa, siyo bure!
Wala huna gundu Tafuta pesa ndugu hao wachumba watakutafuta tu
 
Back
Top Bottom