Nahisi nina gundu la mapenzi kabisa

Nahisi nina gundu la mapenzi kabisa

Yani sasa hivi nina miezi 7 sina mchumba, kila ninayemtongoza lazima asumbue, na huwa sipendi kusumbuliwa au kumbembeleza sana. Naishi maisha ya kununua tu za barabarani.

Naombeni "Connexion" za waganga naona kabisa kwa hatua ambayo nimefikia nahisi nitakuwa nimetupiwa jini mimi kabisa, siyo bure!
Mkuu stress za mapenzi ni kisanga na pia upweke ni kisanga huna gundu bali kuna kitu unamiss au huna vyote, huna cheo, muonekano wako wa rafu au huna pesa na pia sio sweet talker anyway mimi nimechagua kilevi kwa sasa na kutafuna minaokutana bao tukimaliza kila mtu 50,hakuna kuchukua namba
 
Aah kwa kwel hapa lazma sangoma ahusikee....kuna mshenz huko aliko atakuwa anafurahia kuona mpngo wake umefaulu...imagn unamsalimia dada tu hata huna baya nae ila anatokea tu kusonya as if umemtukana...nahc labda nainekana ka kinyesi kwao...hili siwez endelea kulivumilia..kama ni hela hilo haliwez kuwa tatizo cz zipo za kubadili mboga
Jitakase.
 
Pesa hauna za kuhonga.
Uliona wapi samaki akavuliwa na ndoano tupu bila chambo?
 
Yani sasa hivi nina miezi 7 sina mchumba, kila ninayemtongoza lazima asumbue, na huwa sipendi kusumbuliwa au kumbembeleza sana. Naishi maisha ya kununua tu za barabarani.

Naombeni "Connexion" za waganga naona kabisa kwa hatua ambayo nimefikia nahisi nitakuwa nimetupiwa jini mimi kabisa, siyo bure!
🤣🤣🤣🤣Ila jamani
 
Aah kwa kwel hapa lazma sangoma ahusikee....kuna mshenz huko aliko atakuwa anafurahia kuona mpngo wake umefaulu...imagn unamsalimia dada tu hata huna baya nae ila anatokea tu kusonya as if umemtukana...nahc labda nainekana ka kinyesi kwao...hili siwez endelea kulivumilia..kama ni hela hilo haliwez kuwa tatizo cz zipo za kubadili mboga
Pole aisee ila utapata tu mtoto mbichii mzurii mileage inasoma zero kabisa😀 it's a matter of time tu.
 
Huna tofaut na mimi mkuu...nipo kweny hatua za mwsho ...nitaenda kwa mtaalamu..nahc kuna mwanamke kanirushia pepo la kukataliwa maana hata kazi zile za kawaida zinanitolea nje...kweny appearanc sina shaka kweny hilo due pamba nabadili daily na wala sina ile sura pasono..hili wala sihitaj ushauri..nahitaj tu mganga konki...period
Kuna sister mmoja Yuko Mwanza... Yuko very talented kwenye utabibu wa magundu, majini na mikosi.

Amenisaidia hata Mimi na nilimuamini sababu alikuwa mwanamke na kila mtu hata mtaani anamuamini so yes I Gambled and it worked, Sasa hivi wanawake Mimi ndio nawakimbia.

Anaishi Mwanza maeneo ya Kishiri. Namba yake DM.

Kwa ishu za jini yaani ni siku moja tu! Utapona niamini mimi. I've been there, done that.
 
Yani sasa hivi nina miezi 7 sina mchumba, kila ninayemtongoza lazima asumbue, na huwa sipendi kusumbuliwa au kumbembeleza sana. Naishi maisha ya kununua tu za barabarani.

Naombeni "Connexion" za waganga naona kabisa kwa hatua ambayo nimefikia nahisi nitakuwa nimetupiwa jini mimi kabisa, siyo bure!
Kuna sister mmoja Yuko Mwanza... Yuko very talented kwenye utabibu wa magundu, majini na mikosi.

Amenisaidia hata Mimi na nilimuamini sababu alikuwa mwanamke na kila mtu hata mtaani anamuamini so yes I Gambled and it worked, Sasa hivi wanawake Mimi ndio nawakimbia.

Anaishi Mwanza maeneo ya Kishiri. Namba yake DM.
 
Kuna sister mmoja Yuko Mwanza... Yuko very talented kwenye utabibu wa magundu, majini na mikosi.

Amenisaidia hata Mimi na nilimuamini sababu alikuwa mwanamke na kila mtu hata mtaani anamuamini so yes I Gambled and it worked, Sasa hivi wanawake Mimi ndio nawakimbia.

Anaishi Mwanza maeneo ya Kishiri. Namba yake DM.

Kwa ishu za jini yaani ni siku moja tu! Utapona niamini mimi. I've been there, done that.
Uzur mi nipo igoma nakujia pm mkuu..shukran za dhati
 
Yani sasa hivi nina miezi 7 sina mchumba, kila ninayemtongoza lazima asumbue, na huwa sipendi kusumbuliwa au kumbembeleza sana. Naishi maisha ya kununua tu za barabarani.

Naombeni "Connexion" za waganga naona kabisa kwa hatua ambayo nimefikia nahisi nitakuwa nimetupiwa jini mimi kabisa, siyo bure!
Mkuu, kuna wakati kuwa single kuna faida kubwa sana. Sasa ngoja umpate mwanamke alafu shida zote za nyumbani kwao akuletee wewe kisha uje ufungue mada nyingine ya kuomba ushauri.
 
Yani sasa hivi nina miezi 7 sina mchumba, kila ninayemtongoza lazima asumbue, na huwa sipendi kusumbuliwa au kumbembeleza sana. Naishi maisha ya kununua tu za barabarani.

Naombeni "Connexion" za waganga naona kabisa kwa hatua ambayo nimefikia nahisi nitakuwa nimetupiwa jini mimi kabisa, siyo bure!
Waganga hawatakusaidia, sanasana watakoongezea gundu
 
Back
Top Bottom