BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Ukosawa mkuu we ilikupitia ... hopeulitoa SADAKA wenye madeni WANAKUFA KABISA kwa mawazo
Mkuu.kunavitqmini wanatoa zinazink Inaitwa crotene hizi mkiweza.nunua wapeni familia zinawakinga msisubiri waumweHiyo Hali ilinikuta mwezi wa 3 nilipima malaria na UTI Kwenye hospital zaidi ya 4 na bado hawakuona ugonjwa ndipo walinishauri na kunipa dawa za Aina tatu
(1) athrizomyicin tabs(azuma)
(2)ped zinc
(3)vitamin C na panadol
baada ya siku 4 nilikuwa poa kabisaaa