#COVID19 Nahisi nina Covid 19

Nakushauri tu usiende huko wanapopaita Hospital

ndio unaenda kujimalizia huko,nina mjomba angu ilimpata

hu ushauri wa kutokwenda hospital alipewa na doctor kabisa

kilichofata ni uncle akawa anatibiwa home na kufata kila anachoambiwa

na doctor akiwa home,(ili cost sana) but kwasasa ni mzima yuko anadunda huko.

Ninachorudia kukushauri nawewe boss,Jitibie home Huko hospital utaenda tu nyanyapaliwa

na mwisho ufe kwa Mengine watu tuseme ni covid, Mzee tulia home kula nyungu na kila dawa ya asili utayoshauriwa na wataalamu.
USHAURI MZURI,AJIEPUSHE KUWA KARIBU NA WENGINE,ATUMIE VIUNGO NA MATUNDA KAMA ALIVYOSHAURIWA HAPO JUU NA KUFANYA MAZOEZI.
 
Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.

#Acha kujitisha broo Hakuna corona Tz



Over!
 
Wale wabishi wabishi wafuasi wa magufuli wazee wa "R.I.P NA MISS YOU BABA"njooni hapa msome comment ya Chaliifransisco....acheni ubishi wa kijinga

Kamanda watu wanachomoka aise...huku nilipo hospitali zina wagonjwa wengi mno n others wanapoteza maisha...hali ni mbaya ndugu zanguni....


Vichwa ngumu sidhani kama watanielewa
Hospitalini nilini vifo vilisimama? Hata magonjwa yote yakisimama maiti hospitalini lazima zitolewe tu. Maana hata za ajari hupelekwa kuhifadhiwa huko
 
Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.

Pole mkuu,

Ila kumbukumbu zinaonesha wewe ni mpinga Corona na katiba mpya mzuri aka chawa wa mwendazake.

Vipi tena wewe unatoa takwimu za gonjwa hili?

IMG_20210712_152451_202.jpg


Huoni hii ni kutomtendea haki mwendazake?
 
Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.
Tatizo lako hilo nami ninalo siku ya nne leo nakushauri kunywa tangawizi,limao changanya na asali
 
Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.

We jamaa vipi, ulipona?🙄
 
Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.
Acha kuhisi. Nenda kapime kabla hujapotea ukijiona
 
Baada ya kupitia kipindi hicho una mawazo gani na hili janga sasa? Maana mwanzoni ulikuwa unapinga uwepo wa corona na ulihamasisha maisha yaendelee bila tahadhari zozote kisha ukaja kuomba sala zetu baada ya kujihisi umeukwaa, sasa una mtazamo gani mtoa mada
Niko mzima wa afya mkuu. Ahsante kwa kujali.
 
Baada ya kupitia kipindi hicho una mawazo gani na hili janga sasa? Maana mwanzoni ulikuwa unapinga uwepo wa corona na ulihamasisha maisha yaendelee bila tahadhari zozote kisha ukaja kuomba sala zetu baada ya kujihisi umeukwaa, sasa una mtazamo gani mtoa mada
Mimi sipingi uwepo wa corona, napingana na chanjo, chanjo ni utapeli kama utapeli mwingine.

Nilienda hospitali wakaniambia sio corona, ilikua hali ya hewa tu maana sikupewa dawa yoyote, baada ya wiki nikapona ama nikajisikia vyema nikaendeea na mambo yangu, hata hivyo siku zote nilikua naendelea na shuguli zangu.
 
Back
Top Bottom