#COVID19 Nahisi nina Covid 19

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.
 
Hizo dalili zina define Corona, kupima jaribu Muhimbili au Mwananyamala uliza mapokezi, ila muhimu usiuwaze sana huo ugonjwa as long as umepata improvement then never look back.

Tumia malimao (juice) wataalamu wanasema yanaongeza kinga ya mwili kwa haraka, uchangamshe mwili wako kwa mazoezi ule vizuri, after two days utakuwa sawa.
 
Wakuu covid is real hapa nilipo mimi binafsi kuna watu zaidi ya watano ninaowafahamu wanaugua wako hospital. Jana kuna mwingine amepelekwa kuzikwa Kigoma.

Kinachoniuma ni kuwa mtaani watu hawana habari yoyote wao maisha yasonge tu. Halafu wakikuona umevaa barako na una sanitizer wanakushangaa.

Kupanga ni kuchagua. Tuwakumbushe tuwapendao kuchukua tahadhari.
 
Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.
Mkuu zana unazo halafu unaendelea kulala, hata ukipima hauta pona, tumia hii 👇
20210710_181715.jpg
 
Jitahidii upimee na kalee kamdudu ketu.mkuu maana dalilizake zilelezile

Kwa emergency ukisubiria kupima.covid NENDA duka la dawa
Nunua.vitamin inaitwa crotene vit c wambie YENYE ZINK mkuu hii wanaopelekwa wakohoi.wanadungwa dripuzake.anapona huamini

Kingine Kama unakaa. Na familia simaanishi bachela hata Kama ndugu TU wape hizi vitamins 15000 m nawagonga nyumbani kila baada ya miezi 3

Ukikutwa naoo bahatimbaya jitenge KABISA na peleka Ukapime waliobakia mkuu usijepona ukawaadhibu wengineooo

Ondoa mawazo kamaunapata kilaji acha kwa MDA...pata MDA mwingi angalia tv huu.ugonjwa Kinachowaua wengi n mawazo wengine wanawazaa Mali zaurithi na Kama kesi iko mahakamnnkabisaa unaendaa....


Otherwise m km dn hapojuu (k..CHETU)...

Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.
 
Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.
Haraka Sana tumia dawa hii.

Nunua bicarbonate of soda nunua na limao ylza kutosha.
Kata limao mbili kama ni ndogo au moja kama ni kubwa kamulia kwenye mug ya kunywea chai. Ondoa mbegu. Chukua nusu kijiko cha chai cha bicarbonate of soda tia kwenye maji ya limao. Itafoka Sana na povu acha itulie halafu chukua maji Moto yanayochemka mimina kwenye kikombe taratibu na itafoka tena na povu. Acha kidogo itulie na chukua kijiko Indoa povu kidogo lililobaki. Kunywa asubuhi, mchana na jioni unapolala.
Ndani ya siku Moja au mbili utarudi kutoa ushuhuda hapa.
Endelea kunywa kwa siku 7 mfulilizo.

Angalizo: Kama Una presha ya kupanda tumia robo kijiko ya bicarbonate of soda.

Wakati huo huo blend matango, limao na ganda lake nusu, tunguu swaumu punje 3, kariti Moja, tangawizi ukubwa wa kidole gumba na majani 5 mchicha kunywa kwa budii.

Kwa ulivyoeleza ni korona na hujapata dawa na unazidi kupoteza muda kirusi kinazidi kuelekea kubaya.

Pambana.

Ila sasa kila siku dalili za korona ziko mitandaoni na matangazo ya serikali hamtaki kusoma maana mnabeza hakuna Korona na wengine wanambeza mheshimiwa Rais. Ni hivi Korona IPO na inaua. Juzi kijijini Moshi huko nilikooa geneza Nne Kanisani kwa mpigo na huko Marangu kwa rafiki yangu marehemu 7 Kanisani kwa ibada.

Tuendekee kuchukua tahadhari.
 
Back
Top Bottom