#COVID19 Nahisi nina Covid 19

Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.
Usiache kufukiza walau mara mbili kwa wiki.

Ushauri wa Wakulungwa hapo juu pia inahusika.
1.pima
2. pata vit c kwa wingi
3. pata zinc
4. pata antibiotics
5. pata predinisolone
ANGALIZO: Hizi dawa upate toka kwa Mtaalam wa masuala ya Afya (Daktari).

Pia usiache kufanya mazoezi.

Epuka pombe, sugars kwa wakati huu mpaka upate nafuu.
 
Ukiumwa wewe inatosha hiyo Corona inatosha.
Korona ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine msituletee mayowe yasio na maana

Korona ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine 🤣 ugonjwa gani huo? Jifanye mjanja, tena inapenda watu wabishi wabishi kama ninyi
 
kama uko kwenye mikusanyiko au msongamano wa watu halafu hujavaa barakoa halafu ukaambukizwa kirusi cha korona halafu ukafa, hapo nani wakulaumiwa?
je kunahaja ya kumlilia mtu aliye hatarisha uhai wake kwa uzembe wake mwenyewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.
Pole sana,Pamoja na ushauri toka kwa wadau hapo juu... Muombe Mungu akuvushe salama katika kipindi hiki kigumu,Ugua pole ndugu!!
 
Mimi nakuambia kamanda, kabla ya kutumia chochote nenda kapime kwanzaaa ujue afya yako.....achana na kujifukiza huu sio wakati wa magufuli wa kudanganyika na kusababisha mamia ya watu kupoteza life..... baada ya majibu, msikilize dokta ushauri atakaokupatia.
Kupima corona ni gharama. Hapa kwenye video tunaweza pata kitu cha kujifunza katika kupambana na Corona, lakini pata ushauri wa daktari.
 
Mkuu tafuta tangawizi, malimao na asali chemsha vichanganyike vzuri(wauza tangawizi pia wanayo) tungeneza ile kali kunywa siku mbli mfululizo au zaid utakuja kunishukuru badae
 
Jitahidii upimee na kalee kamdudu ketu.mkuu maana dalilizake zilelezile

Kwa emergency ukisubiria kupima.covid NENDA duka la dawa
Nunua.vitamin inaitwa crotene vit c wambie YENYE ZINK mkuu hii wanaopelekwa wakohoi.wanadungwa dripuzake.anapona huamini

Kingine Kama unakaa. Na familia simaanishi bachela hata Kama ndugu TU wape hizi vitamins 15000 m nawagonga nyumbani kila baada ya miezi 3

Ukikutwa naoo bahatimbaya jitenge KABISA na peleka Ukapime waliobakia mkuu usijepona ukawaadhibu wengineooo

Ondoa mawazo kamaunapata kilaji acha kwa MDA...pata MDA mwingi angalia tv huu.ugonjwa Kinachowaua wengi n mawazo wengine wanawazaa Mali zaurithi na Kama kesi iko mahakamnnkabisaa unaendaa....


Otherwise m km dn hapojuu (k..CHETU)...
Andika vizuri hizo dawa jombaaa watu tuzame pharmacy
 
MKUU..KUJIFYKIZA SI WATU WALISEMA NI USHAMBA WA MAGUFURI NA WOTE HUMU TUKAKUBALIANA NI UWONGO NA USHAMBA AU TULISEMA KUMCHUKIA BURE HUKU TUKIAPPRECIATE MAMBO YAKE

Pamoja na ushauri woote wa wadau hapo juu pia usisahau kujifukiza
 
Fatilia michango yangu mie ni team mwendazake lia lia huwezi niambia kuhusu chanjo ila kujifukiza na kjnywa tangawizi na malimao nipo hapo
MKUU..KUJIFYKIZA SI WATU WALISEMA NI USHAMBA WA MAGUFURI NA WOTE HUMU TUKAKUBALIANA NI UWONGO NA USHAMBA AU TULISEMA KUMCHUKIA BURE HUKU TUKIAPPRECIATE MAMBO YAKE
 
Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.

Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.

Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.

Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.

Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.

Ahsante.
Hospital kufanya nini, kunywa dawa, tafuta erythromycin mg 500, vidonge vya vitamin C na Asprin
 
Imooooo!! Fanya mazoezi ya kutembea na utoke jasho sana,tafuna tangawizi ,kula machungwa , mananasi kwa wingi Kitu cha DELTA hicho.
 
Back
Top Bottom