Nahisi nilipenda nisipopendwa

Nahisi nilipenda nisipopendwa

Pole sana, utampata tu wako atakayekupenda mpaka ushangae! Usivunjike moyo, yamepita na hili nalo utalisahau
 
Pole

Mwanaume hakukupenda na alikufanya wa akiba sema hukusoma mchezo.

Ila ndio maisha songa mbele
 
Huyu mbona kama alikuwa na lengo la kukuumiza tu kwa maelezo yako. Au kuna tusilolijua?

Hapana hatukuwahi gombana wala kuhisi kuna kitu chochote tofauti Kati yetu.Alivyoenda kwao wakanikataa nayeye akachukua hyo hatua,Pia alikuwa anapiga simu na anatuma message kuwa anaomba aagane kwa Amani na Mimi kwakufanya nae mapenzi hlo pia nilikataa akawa anasisitiza Sana lakn niliendelea kukataa.
 
Hapana hatukuwahi gombana wala kuhisi kuna kitu chochote tofauti Kati yetu.Alivyoenda kwao wakanikataa nayeye akachukua hyo hatua,Pia alikuwa anapiga simu na anatuma message kuwa anaomba aagane kwa Amani na Mimi kwakufanya nae mapenzi hlo pia nilikataa akawa anasisitiza Sana lakn niliendelea kukataa.

Pole lakini hiyo yote ni sehemu ya maisha. Jipe muda utapoa hayo maumivu.
 
Usiumie sana...unapitia changamoto ambayo wengi wanapitia...!!

Kwangu, naona tunawatia wadada usugu katika mapenzi. Imagine huyu akija kupata mtu, hawezi tena kuwa huru, kumwamini na kumpa maisha yake...!!
 
Tulia yupo atakaejitokeza na atakupenda ngoja nikueleze kitu dada yangu pia ilimtokea hali kama yako,na dada yangu alijiweza sana kifedha,mwanaume alijifanya kupenda sana hata akatoa mahari fikiria pande zote wa ndugu walitambulishwa na dada yangu alijitoa sana ,yaliyomkuta vicky kamata si mchezo wengi mmejua,habari yake ilifanana na vick kamata,alilia sana na hata alikunywa sumu mara 3 nakuokolewa,alijitupa ziwani aliwe na mamba lkn wavuvi walimuokoa, alikuwa kichaa na ameishi mirembe miezi 8 mungu kamponya,alipata maumivu makali lkn aliyavumila japo hayavumiliki,leo hii navokwambia alikuja kupata mwanaume hapahapa dar es salaam na ni handsome balaa anaupendo wa kufa mtu,ana pesa mbaya,utasema nn dada yangu anaitwa malikia,kwa sasa wanaishi uk na mumewe,haya sasa yako wapi ??yule mwanaume msaliti amepatwa na majaribu haamini yaliyomkuta leo hii anapiga debe posta pale ukienda unamkuta kawa kama teja akionana na sisi analia tu,anajuta yule anahitaji msaada wajameni ,ww dada usiumie mungu yupo na anaishi utashinda vaa silaha ya maombi omba mungu utashinda
 
Worry out utapata wa ukwel. . Pole sanaaaa. . Piga moyo konde
 
Pole sana dada... Mungu ana makusudi na wewe. Sali kwa imani yako na mwisho wa siku utajua ni kwanini umeepushiwa huyo jamaa...
 
you are too expensive for him so he knew he cant afford such an expensive woman like you....ndio maana magari aina ya ferrari humilikiwa na watu wachache sana na hutengenezwa kwa order maalum...

zake kumiliki bajaj wewe dadangu mziki ferrari hakuwezi ...mwache asepe wamiliki wachache wa ferrrari wako hapa muda si mrefu utatupata wengi tuu...ila kuwa makini kuchagua na wewe umezidi..ulidhani akimaliza chuo ndio unakuwa mke wa docta..ahahaha.

umesema alikuomba mchango wa harusi?....huyo mario hana lolote..hata arusi kaomba michango..wenzake wanaalika watu kusherehekea sio kila siku sms za kuomba michango mpaka tigo na voda wanakujua kwa kutuma msg za makundi.

hakufai huyoooooo.....karibu huku ukiwa makini utaolewa na ukiwa maskini wa akili utawolewa..

ni hayo tuuuuuuuuuuu.
 
Pole sana rafiki Mungu awe ndiye kimbilio lako uisiangalie nyuma tena kwani Mungu amekuandalia wako ambaye mtaendana, mtapendana na mtachukuliana kwa kila hali haijalishi umepita katika vikwazo hivyo ila mtegemee Mungu kwani yeye hujishughulisha sana na mambo yetu

Ondoa mawazo ya kumfikiria alivyokutenda kwani wengi wetu hapa tumetendwa hivyo hivyo wewe simama imara na mwombe Mungu atakutokea na utapata aliye wako mpaka utasahau machungu yote hayo soma jeremiah 27:32 (32:27) nimesahau kidogo hivyo vifungu ila ni hivyo hivyo bestito. uwe na siku njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom