nahisi naibiwa

nahisi naibiwa

hofu yako ndio kifo chako bwana mdogo!

inaonekana hata ukimkuta amesimama na kidume yeyote, utaamini moja kwa moja kuwa ndio mchawi wako!

chunguza pole pole, kuwa CID si mchezo!

mkuu, kuna mtu anakuchakachulia. take action immediately. hizo ni dalili za wazi zinazodhihirisha kwamba kuna uchakachuzi unaendelea mahali. tafakari, chukua hatua!
 
nimekua na mahusiano na mpenz wangu kwa muda sasa (takribani miez 5 sasa),,mwanzon tumekua tukiwasiliana kwa karibu sana na kunifanya nijiskie amani na kusahau kuhus wasichana wengne,,,,kifup amenifanya niwe mwaminifu sana,,
cha ajabu ni ck za apa karbun ambapo gafla amepunguza mawasiliano kwa madai shule imebana,,,namtumia txt anachelewa kujib,,,sitak kuamin kua mpenz wangu huyu anani-cheat ila naamin kwel mambo yamebana,,
nilichopanga kukifanya ni kwenda kumsalimia kwa suprise,,kwamba simwambii kua naenda mkoa aliko ila atashtukia kuniona thn ntapata nafas ya kuikagua cm yake for good il nijue moja maana ata raha nae tena sina mekua mpweke mnoo,,
wana mmu plz naombeni mnishauri,,,niko sawa kwa uamuzi wangu huo!!

mkuu, shtuka! kuna mtu atakuwa anakumegea totoz--hizo dalili anazoonyesha sio nzuri hata kidogo.
 
wenzako saa hivi wapo busy na test na EU mwache mwenzio amalizie mitihani yake
mi pia nimesoma chuo anachosoma,,,so i no abcd,,,kama ni bizy nafaham na kiwango,,ikizingatiwa hata study break bado,,,
 
mkuu, shtuka! kuna mtu atakuwa anakumegea totoz--hizo dalili anazoonyesha sio nzuri hata kidogo.
ndo nataka nikagundue ilo il nimuache amegwe kwa uhuru kabisaa,,coz naamin naweza kua na msichana yeyote apa mjin,,ts a matter of tym mku
 
mkuu, kuna mtu anakuchakachulia. take action immediately. hizo ni dalili za wazi zinazodhihirisha kwamba kuna uchakachuzi unaendelea mahali. tafakari, chukua hatua!
tehe tehe,,,hatua nazichkua mapema sana mkuu
 
huna haja ya suprise,kwani akili yako haitoshi kupima mapenzi yake kwako mpaka uje unalia hapa,nani kakwambia watoto wa chuo ni wa kuoa,kimbia utaumiz weweeeee.
 
mkuu hunda ni kwel kabanwa hasa kwenye kipindi hiki kuelekea kwe mtihani wa mwisho test ni nyingi sana,kwa mfano kuna chuo kimoja hapa iringa test zimefuatana toka j3 hadi ijumaa so lazima awe bize ila usijali tupo wengi wahanga wa hilo mkuu
 
huna haja ya suprise,kwani akili yako haitoshi kupima mapenzi yake kwako mpaka uje unalia hapa,nani kakwambia watoto wa chuo ni wa kuoa,kimbia utaumiz weweeeee.
ofcoz wengi wa wananchuo sio waaminifu,,,lakin sio kwamba wote si waaminifu,,,,vyote vinawezekana wether kweli kabanwa au ndo ivo anagegedwa nje
 
mkuu hunda ni kwel kabanwa hasa kwenye kipindi hiki kuelekea kwe mtihani wa mwisho test ni nyingi sana,kwa mfano kuna chuo kimoja hapa iringa test zimefuatana toka j3 hadi ijumaa so lazima awe bize ila usijali tupo wengi wahanga wa hilo mkuu
daah kwa upande mmoja wa sh inawezekana mkuu,,,pia haya mapenzi ukifanya mchezo unapoteza muda na fedha aisee,,,
 
nimekua na mahusiano na mpenz wangu kwa muda sasa (takribani miez 5 sasa),,mwanzon tumekua tukiwasiliana kwa karibu sana na kunifanya nijiskie amani na kusahau kuhus wasichana wengne,,,,kifup amenifanya niwe mwaminifu sana,,
cha ajabu ni ck za apa karbun ambapo gafla amepunguza mawasiliano kwa madai shule imebana,,,namtumia txt anachelewa kujib,,,sitak kuamin kua mpenz wangu huyu anani-cheat ila naamin kwel mambo yamebana,,
nilichopanga kukifanya ni kwenda kumsalimia kwa suprise,,kwamba simwambii kua naenda mkoa aliko ila atashtukia kuniona thn ntapata nafas ya kuikagua cm yake for good il nijue moja maana ata raha nae tena sina mekua mpweke mnoo,,
wana mmu plz naombeni mnishauri,,,niko sawa kwa uamuzi wangu huo!!

Daah..Pole sana..Magombe,Marijani rajabu aliimba jaman kupenda kubaya mtu asiyejua kupenda amuombe mungu amsaidie endelee hivo hivo
 
Dont B too concerned unafunga safari kwa ajili ya kuchunguza cm ukifuatilia sana utaumia sana fanya uendane na matakwa na mazingira yaliyopo na wewe uwe unamcheki muda ambao hana Issue ya kusingizia kiac ukishagundua haitakuuma sana
 
Dont B too concerned unafunga safari kwa ajili ya kuchunguza cm ukifuatilia sana utaumia sana fanya uendane na matakwa na mazingira yaliyopo na wewe uwe unamcheki muda ambao hana Issue ya kusingizia kiac ukishagundua haitakuuma sana
ilo nalo neno mkuu
 
jamaa una mahusiano na .mwafunzi, hiyo hatari ....
 
nimekua na mahusiano na mpenz wangu kwa muda sasa (takribani miez 5 sasa),,mwanzon tumekua tukiwasiliana kwa karibu sana na kunifanya nijiskie amani na kusahau kuhus wasichana wengne,,,,kifup amenifanya niwe mwaminifu sana,,
cha ajabu ni ck za apa karbun ambapo gafla amepunguza mawasiliano kwa madai shule imebana,,,namtumia txt anachelewa kujib,,,sitak kuamin kua mpenz wangu huyu anani-cheat ila naamin kwel mambo yamebana,,
nilichopanga kukifanya ni kwenda kumsalimia kwa suprise,,kwamba simwambii kua naenda mkoa aliko ila atashtukia kuniona thn ntapata nafas ya kuikagua cm yake for good il nijue moja maana ata raha nae tena sina mekua mpweke mnoo,,
wana mmu plz naombeni mnishauri,,,niko sawa kwa uamuzi wangu huo!!

Upo sahihi go ahead.
 
kwa nini ustumie watu wa jamiiforums walio jirani wafanye uchunguzi tena toa number zake hapa
 
Haya mapenzi ya kidigital kazi kweli kweli,utakuta watu mnanuniana mwaka mzima,kisa umechapiwa demu na unaweza hata kulaaani, utadhani umemuoa! Mwache bint wa watu awe nao watatu wanne ili akiachwa na mmoja asiwe insane!
 
kwa nini ustumie watu wa jamiiforums walio jirani wafanye uchunguzi tena toa number zake hapa
tehe tehe tehe,,ayo mambo ya uchunguz ntadeal nayo mwenyew,,,athante kwa concern
 
Kuna jamaa alikuja hapa na uzi alienda kumsuprise demu wake wa chuo hivi matokeo yake demu akamkana akaambulia kichapo kwa kuwavurugia watu starehe zao naona huyu ndg ndo anakitafuta,ukweli unajieleza wenyewe unagongewa afu hamkomi/kujifunza tu kwa wenzenu maana haipiti mwezi mtu moja au wawili lazima waje jukwaani kulialia juu ya mademu wa vyuo.Fimbo ya mbali haiui nyoka.
 
Haya mapenzi ya kidigital kazi kweli kweli,utakuta watu mnanuniana mwaka mzima,kisa umechapiwa demu na unaweza hata kulaaani, utadhani umemuoa! Mwache bint wa watu awe nao watatu wanne ili akiachwa na mmoja asiwe insane!
ingawa siwez kuusemea moyo wake bt i prety sure kua she z nt of th type,,,,binafsi hua namuona anajieshimu,,,nakumbuka wkt bado nkiwa nasoma nlikua namuona na kufatilia kwa karb mwenendo wake,,,ni msichana anaejitambua kwa kwel
 
Back
Top Bottom