nahisi naibiwa

nahisi naibiwa

Communication is a core of love-Tafakari chukua hatua
 
mkuu Karucee, unajua kuna mikoa kabisa ukiachia dem wako kuwepo, kama si mwenye msimamo, basi kubali tu matokeo!

kuna majiji yenye starehe nyingi sana kama dar, mwanza, tanga ama mbeya.. huku vishawishi ni vingi sana kwa mtoto wa kike!

kwa hiyo ni kuwa alerted kwa lolote!

I know. Na ndio maana nilitaka akutajie huenda ukampa point. But yeye sijui anaona utaenda kumuibia? Beats me!!
 
Last edited by a moderator:
well yet again human stupidity knows no boundaries...DEMU WAKO UKIWA NAE KITANDANI UNAMGEGEDA AKISHASEPA NI WAKILA MTU KAKA
tht apply as inapoishia ndipo other way around ya serius relationshp inapoanzia tht no cheat,,,,either we hav to agree as no seriusness ndipo hapoo akigegedwa pengne it wl b ok ila when u are serius inauma sanaaa
 
Unataka atumie njia gani ili upate kubaini kuwa haupo tena moyoni mwake? Hataki kukupa maumivu makali ya nafsi ndio maana katumia njia hiyo. Kuna mwenzako kaishapendwa huko bado tu hujajua? unataka kwenda kuchunguza simu yake ili upate sababu ya kum-ufoosaro. Unajipa tabu yanini wakati hupendwi? Aaaarrrrgghh unanikera!
 
Kuna watu wanajitafutia magonjwa ya moyo. Pima hisa zako kama unaweza kuendelea kuwa naye
 
wote tuko kwenye majij kaka

ahaaa!!

sasa mkuu, fanya investigations juu ya hilo, yawezekana kweli unasaidiwa na mtu au huwezi jua labda moods zake huwa zinambadilikia hivyo kupoteza hamu ya kuongea na wewe!!!

angalia lakini usije ukaitiwa polisi ama kupigwa vibao na mwanaume mwenzio! ilishawahi kumtokea mtu humu humu MMU!

so be careful!
 
Pili experience yangu inanionyesha ikifika stage fulani haina haja ya kukumbushana responsibilities za mapenzi(50-50)kila mmoja lazima aonyeshe need ya kumtaka mwenzie na hauko tayari uyeyuke!!
When you go beyond that margin(50-50) utaonekana zoba
 
I know. Na ndio maana nilitaka akutajie huenda ukampa point. But yeye sijui anaona utaenda kumuibia? Beats me!!

hahahaaa!!! hapo yeye mwenyewe keshajiibia kimawazo!

lakini nyie nao watoto wa kike mna mihemko ya ajabu kweli Karucee!
 
Last edited by a moderator:
Unataka atumie njia gani ili upate kubaini kuwa haupo tena moyoni mwake? Hataki kukupa maumivu makali ya nafsi ndio maana katumia njia hiyo. Kuna mwenzako kaishapendwa huko bado tu hujajua? unataka kwenda kuchunguza simu yake ili upate sababu ya kum-ufoosaro. Unajipa tabu yanini wakati hupendwi? Aaaarrrrgghh unanikera!
hahahaa,,angalau ww umenchekesha,,,
asante kwa ushauri
 
tht apply as inapoishia ndipo other way around ya serius relationshp inapoanzia tht no cheat,,,,either we hav to agree as no seriusness ndipo hapoo akigegedwa pengne it wl b ok ila when u are serius inauma sanaaa

sasa sii upuuzi wako mwenyewe. umejitakia. wewe unajidai una akili sana wakati ulishaambia msigegedane kabla ya ndoa...sasa unajidai wewe wa digitally u know better...sasa hayo ni majonzi ya kujitakia. hutaki kugegedewa demu oa bikra but thats if wewe mwenyewe virgin...oops kumbe ulisha gegeda basi wewe jua kabisa maishani mwako demu wako lazima agegedwe
 
Wanawake wote hawa unaumiza kichwa na mtu asiyekujali...acha uboya ww au ndio demu wa kwanza?
 
magombe junior ninawasiwasi unaweza kumfumania! tekeleza mpango wako. urudi kutupa majibu.
 
Last edited by a moderator:
Tuacheni tupumueeee

hahahahaaaa!!! mpumulie wengine si ndiyo eenh?

ama kweli taste and preference nayo inachangia sana katika kuvunjika kwa mahusiano!

bila shaka huyu nae yuko kwenye '' shake well before use programme''!!

kuanzia kesho naanza u-cid kuhusiana na hii policy!
 
Wanawake wote hawa unaumiza kichwa na mtu asiyekujali...acha uboya ww au ndio demu wa kwanza?
i have been plain smart kweny mahusiano haya so many times bt i promic to b serius wth ths current one,,,,may b i am paying the price,,, bt to me this gal wont sirvive in my heart after nikigundua anythng mins cheating,,,,i wil considre myself to have more time ya kula ujana ayo ya seriusness tutayajua mbelen uko
 
Kuna watu wanajitafutia magonjwa ya moyo. Pima hisa zako kama unaweza kuendelea kuwa naye
she sound strongly in love wth me,,,wat suprises me is ths bizy days she stats,,,,kwa maelezo yake she wants me more than i can emergin ndio maana nimeona ku-clear doubt nijitie hasara ya minaul iyo lkn i promice tutagegedana kwanza ndo nkague cm,,,maana naweza kuishiwa mood af tulale hotel bureee,,
 
Back
Top Bottom