nahisi naibiwa

nahisi naibiwa

.ha ha ha ha ha!!!!! me huwa nikiona mwanaume analalama huwa nacheka hadi wakati mwingine nakaa chini, hawa watoto wa chuo utawaweza tu mfukoni ukiwa unaingiza PESA ya kutosha kwa wiki/mwezi..(mwenzio yaliwahi nikuta na hawa uanowataja tena nachokumbuka naliambiwa segere kasome Kumbukumbu la Torati litakusaidia kupunguza maumivu)..sasa niko sekta ya kutengeneza PESA nimegundua huku ndo fani yangu nawe karibu idara hii mkuu..lakini kwa huyo mwanachuo huna haja hata ya kwenda ushapingwa chenga na kina Messi wa Jiji omba Mungu asikutane na huyu jamaa anajiita Mr. President humu MMU utajapata mshituko wa moyo bure...
 
Mapenzi ni matamu na wengi huyatumia kama dawa dhidi ya ugonjwa wa msongo wa mawazo ila yaendapo kombo hubadilika kuwa gonjwa hatari sana kuliko yote uliyopata kuyasikia. Huweza kumfanya mtu akawa si tu mpofu wa macho bali fikra pia. Chekundu kitaitwa cheusi na hata kamba kuitwa mkanda! chezea mapenzi wewe? Naimani Mungu alikupa kichwa ili ukitumie kufikiri na sio kubebea masikio wala kufugia nywele! Ukweli ushaujua kuwa hupendwi ila unataka tu kupingana nao jambo ambalo hutoweza. Hakuna kitu ubize katika mapenzi ya dhati, niamini mimi! HUPENDWIIIIIIIIIIIIIII huo ndiyo ukweli ubebe kama ulivyo pole. sana!
 
Unakifua cha kubeba hayo maumivu?? Kwanini usimuulize msimamo wake?
 
aise utalia mbele za watu ,kumfumania mpenz kunauma iwe ndani ya cm au live! kovu la maumivu yake halifutiki kama kama ni mpenz tu tafuta mwengne atakupa ugonjwa wa moyo + kisukari +bp +stroke ,ubaki unatazama tu!
 
Utamchunga mkeo lakini demu atakuumiza kichwa. Usijihangaishe n kupekua simu yake utapata pressure bure. Wewe nenda kamgegede tu
 
hahahahaaaa!!! mpumulie wengine si ndiyo eenh?

ama kweli taste and preference nayo inachangia sana katika kuvunjika kwa mahusiano!

bila shaka huyu nae yuko kwenye '' shake well before use programme''!!

kuanzia kesho naanza u-cid kuhusiana na hii policy!

Oh yeah.
 
Utamchunga mkeo lakini demu atakuumiza kichwa. Usijihangaishe n kupekua simu yake utapata pressure bure. Wewe nenda kamgegede tu
hhahahaa,,tehe tehe tehe,,
 
.ha ha ha ha ha!!!!! me huwa nikiona mwanaume analalama huwa nacheka hadi wakati mwingine nakaa chini, hawa watoto wa chuo utawaweza tu mfukoni ukiwa unaingiza PESA ya kutosha kwa wiki/mwezi..(mwenzio yaliwahi nikuta na hawa uanowataja tena nachokumbuka naliambiwa segere kasome Kumbukumbu la Torati litakusaidia kupunguza maumivu)..sasa niko sekta ya kutengeneza PESA nimegundua huku ndo fani yangu nawe karibu idara hii mkuu..lakini kwa huyo mwanachuo huna haja hata ya kwenda ushapingwa chenga na kina Messi wa Jiji omba Mungu asikutane na huyu jamaa anajiita Mr. President humu MMU utajapata mshituko wa moyo bure...
kwa sababu nimeshajiandaa kwa situation yeyote ctegemei kuambulia ugonjwa wa moyo na mengine,,,kikubwa ntakua kwny situation yakufanya maamuz ambayo yatakua sahh!
 
Mapenzi ni matamu na wengi huyatumia kama dawa dhidi ya ugonjwa wa msongo wa mawazo ila yaendapo kombo hubadilika kuwa gonjwa hatari sana kuliko yote uliyopata kuyasikia. Huweza kumfanya mtu akawa si tu mpofu wa macho bali fikra pia. Chekundu kitaitwa cheusi na hata kamba kuitwa mkanda! chezea mapenzi wewe? Naimani Mungu alikupa kichwa ili ukitumie kufikiri na sio kubebea masikio wala kufugia nywele! Ukweli ushaujua kuwa hupendwi ila unataka tu kupingana nao jambo ambalo hutoweza. Hakuna kitu ubize katika mapenzi ya dhati, niamini mimi! HUPENDWIIIIIIIIIIIIIII huo ndiyo ukweli ubebe kama ulivyo pole. sana!
ingekua wkt nkiwa sijapevuka kiakil i could have take it frm u bt naamin katika kufanya mammuz sahihi sitaki nifanye maamuz kwa hisia au makadirio,,,nataka nfanye maamuzi ambayo yataniweka huru and soon kila kitu kitakua waz!
 
sikushauri kufanya hivyo aliwazalo mjinga ndiyo linalompata so kama ni demu potezea tu... tafuta pesa tu atarudi au watakuja wakali kuliko yeye
 
Unakifua cha kubeba hayo maumivu?? Kwanini usimuulize msimamo wake?
msimamo wake ananpenda and she says like nothin can change tht,,,,but wth th situation nakua napata wakt mgumnu kumuelewa km anamaanisha au lah!
 
msimamo wake ananpenda and she says like nothin can change tht,,,,but wth th situation nakua napata wakt mgumnu kumuelewa km anamaanisha au lah!

Kama ni mwanafunzi huenda yuko kwenye lectures au discussions,at times you need to be optimistic.Wasiwasi hausaidii,unaeza funga safari na usiambulie chochote,stay calm,mpange muda wa kuwasiliana,
 
ingekua wkt nkiwa sijapevuka kiakil i could have take it frm u bt naamin katika kufanya mammuz sahihi sitaki nifanye maamuz kwa hisia au makadirio,,,nataka nfanye maamuzi ambayo yataniweka huru and soon kila kitu kitakua waz!

Yaaah mawazo yako ni mazuri ila bado sijaona ni kipi hasa unachotaka kukitafiti hali ya kuwa kila kitu kipo wazi. Unaamini kweli kabisa kwa moyo wako wote bado ana mapenzi nawe? Penzi la kweli halifichiki ila lake yeye imewezekana, kaweza kwa namna gani? Bila shaka yupo aliyemuwezesha. Goodluck katika utafiti wako la usisahau kleta mrejesho.
 
story za uzinzi zimekuwa nyingi sana humu ndani.....nadhani ipo haja ya kuanzisha jukwaa la uzinzi......JF zinzi..
 
Yaaah mawazo yako ni mazuri ila bado sijaona ni kipi hasa unachotaka kukitafiti hali ya kuwa kila kitu kipo wazi. Unaamini kweli kabisa kwa moyo wako wote bado ana mapenzi nawe? Penzi la kweli halifichiki ila lake yeye imewezekana, kaweza kwa namna gani? Bila shaka yupo aliyemuwezesha. Goodluck katika utafiti wako la usisahau kleta mrejesho.
kuhusu mrejesho ondoa shaka,,ntaleta
 
story za uzinzi zimekuwa nyingi sana humu ndani.....nadhani ipo haja ya kuanzisha jukwaa la uzinzi......JF zinzi..
ndo umemaliza kuandika au umepumzika utaendelea!,,,,
 
msimamo wake ananpenda and she says like nothin can change tht,,,,but wth th situation nakua napata wakt mgumnu kumuelewa km anamaanisha au lah!

wenzako saa hivi wapo busy na test na EU mwache mwenzio amalizie mitihani yake
 
usiende kumfanyia surprise maana unaweza kujikuta wewe ndio wafanyiwa surprise
 
Back
Top Bottom