Geofrey_GAMS
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 496
- 229
not all the time,,,so;etims it works
kama huyo mpenzi ni dhahiri kwamba anakusaliti, sema tu hutaki kuamini na ni kawaida mtu kutotaka kuamini kwasababu "love is blind", if you are deep in love, huwa ni ngum sana kuamin kwmb mpenz wako anakusaliti, kwasabab ushamwamin vya kutosha, so evrytim anapofanya kitu ambacho hatakiwi kufanya unakuwa unajipa moyo kwmb kutakuw kunasabab tu imefanya hajapokea sim au hajajibu text au huw hanitafut sana, ila kumbe kiukweli kuna mtu mwngne anaemweka busy, "No one is ever busy, its all about priority"